Paris Olympics 2024: Tuzingatie Vigezo vya Kufuzu Michezo ya Olimpiki na Michezo inayochezwa huko

Paris Olympics 2024: Tuzingatie Vigezo vya Kufuzu Michezo ya Olimpiki na Michezo inayochezwa huko

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Michezo ya Olimpiki inasimamiwa na kuratibiwa na kamati ya olimpiki duniani (IOC) kwa ajili ya kusaidia michezo mbalimbali kwenye nchi nyingi Duniani.

Kuna michezo ya kuruka au miruko mbalimbali , kukimbia uwanjani na Barabarani , kutembea , Kurusha Tufe, Kurusha Mkuki , kurusha kisahani, kuogelea, Judo , Kucheza muziki, mpira wa miguu, mpira wa pete, mpira wa kikapu na michezo mingine mingi.

kamati ya olimpiki ya dunia ; huwa inatoa fungu la Pesa kwa wanachama wake wa kila nchi ; kama vile kamati ya olimpiki tanzania (TOC) kwa ajili ya kuendeleza michezo, kuwezesha kambi za michezo na kuwafundisha makocha na pesa za kujikimu.

Kuna muda maalumu au vigezo maalumu ya kufuzu baada ya kuwezeshwa fedha za kukukufanya uwe sawa kwenye Mazoezi.

IMG_1991.jpeg

IMG_1992.jpeg

IMG_1988.jpeg

IMG_1989.jpeg

IMG_1990.jpeg
 
Huku kwetu mara zote ni riadha tu na masumbwi! Kisa Filbert Bayi alikuwa ni mwanariadha, huwezi kumuona akihamasisha michezo mingine.

Toa huyo mzee Filbert Bayi, weka viongozi wenye maono.
 
Huku kwetu mara zote ni riadha tu na masumbwi! Kisa Filbert Bayi alikuwa ni mwanariadha, huwezi kumuona akihamasisha michezo mingine.

Toa huyo mzee Filbert Bayi, weka viongozi wenye maono.
Tuna watu wengi wenye maono ya riadha na medali kupatikana.
Filbert Bayi hataki mtu avunje rekodi yake ; atatumia hata ndumba.🤪
 
Back
Top Bottom