Haya Messi amefika sasaWamemng'ang'ania neimar na atawagarimu sanaa,,,hakuna mchezaji pale akacheze timu za mchangani ndio atazionea [emoji16] ile timu angekua messi ingeshinda, coz iko vizuri kuliko baselona iliofungwa goli 8
Kbs yan wamefny kumueshimisha mno.Hahahaha, yea wamempa heshima na furaha, maana barca hatujamuaga vyema.
Nasbr itokee Psg na Madrid..hlf Casemiro ampe Kiatu kikali Messi hlf Ramos akimbie chap kumtetea Messi na kugombana na Casemiro..asee itakua safi sana[emoji23]Sergio Ramos x Messi on the same team. [emoji44]View attachment 1888638
Aisee hii kitu sikuwahi kuiwaza. Imetokea gafla sana.Sergio Ramos x Messi on the same team. [emoji44]View attachment 1888638
Rais wa wapi huyuHere we go.View attachment 1887418
Mkuu hata mm nimeshangaa km wewe[emoji23]Huu utopolo kumbe una thiredi!!??
Messi kasababisha yote haya mkuu
Krb sana mkuu..tuko pa1 msimu huu ni balaa kubwa sankumbe hii timu ina mashabiki hapa bongo haya niongezeni na mimi kwenye list
Krb sana mkuu..tuko pa1 msimu huu ni balaa kubwa san
atakuwa mwekundu huyoKuna Mod shabiki wa Messi humu. Huu uzi walikua wameutupa kuleeee,naona saiv wameupandisha huku VIP kisa messi
As CR7 fan nimeumiaaaaaa hawakuupandisha wa Juve
Ngoja tuone msimu huuWangekua na Messi naamini wangeshinda,