mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Nilienda ofisini kwao na kulalamika kwamba wanachaji pesa nyingi kwa siku 6,000/=,
Nikapelekwa ofisi ya mhasibu akanambia kuna vifurushi unaweza kuchagua, kidogo vina bei nafuu, basi nikachagua kifurushi cha mwezi kwa 50,000/= ajbu nimelipia 50,000/= na bado kwenye malipo ya kila siku wananiletea deni
sasa nikiwauliza wanasema hela hazijafika kwetu,
Ushahidi wote ninao, je niupeleke wapi nipate haki yangu
NB
Sio mimi tu wapo wengi wamefanyiwa hivi
Nikapelekwa ofisi ya mhasibu akanambia kuna vifurushi unaweza kuchagua, kidogo vina bei nafuu, basi nikachagua kifurushi cha mwezi kwa 50,000/= ajbu nimelipia 50,000/= na bado kwenye malipo ya kila siku wananiletea deni
sasa nikiwauliza wanasema hela hazijafika kwetu,
Ushahidi wote ninao, je niupeleke wapi nipate haki yangu
NB
Sio mimi tu wapo wengi wamefanyiwa hivi