PART 2: Haya hapa makundi yanayofurahia ama kuridhishwa na utawala wa awamu ya sita

safi sana.
 
Mkuu Magufuli alikuwa hatoi ajira kweli?miradi ya SGR,Bwawa la umeme,Ujenzi wa makao makuu Dodoma,Bandari ya Karema, Ujenzi wa Masoko mapya, Ujenzi wa vituo vya Afya na Hospitali,TRA,BOT nk.
Sasa Mama katoa ajira gani? Magufuli alikuwa ana akili kama una akili NDOGO huwezi kumuelewa,sisi hatuna ethical private sector,wengi waganga njaa ukiacha akina Mo na Bakhresa!
 
Aisee wa Tanzania ni wagumu sana! Sijui miradi hii iliwaajiri wageni tu?
Kweli Magu aliishi na wanafiki
 
Hata wakulima ndani ya miaka 2 ijayo watafurahia tuu,tunamalizia kiwanda cha mbolea,kuimarisha huduma za ugani,mbegu na tunaongeza bajeti ya kilimo mara dufu.

So watafurahia mpaka wacheue.Ila sio wote kuna wale watu wenye chuki zao binafsi tuu na Rais ila hawana sababu za msingi.
 
Upewe tuzo we jamaa!
 
Upewe tuzo we jamaa!
Sasa hivi kete waliyonayo Chadomo na sukuma gang ni kusema ooh sijui vitu vimepanda mara ooh sijui watumishi wa umma rushwa,hivyo vyote wanazusha kwa sababu wanaona hawana pa kutokea.

Ukweli ni kwamba Samia ana deliver kuliko Rais yeyote kwa mda wa mwaka mmja..

Mathalani awamu iliyopita walikuwa wanaipuuza Sana sekta ya kilimo lakini leo mambo yamejibu wanataka Samia alaumiwe..

Ona hapa 👇





 
Sawa alikuwa na akili ila sasa kafa, je? bado mataka awaongoze akiwa kaburini?
 
Sawa alikuwa na akili ila sasa kafa, je? bado mataka awaongoze akiwa kaburini?
Waafrika huwa mizimu tunaiamini Sana, hapa wataka 2025 mzimu usimamie uchaguzi! Noma Sana, beberu atatutawala miaka 1000
 
Acha utoto,ata wewe utakufa na Mimi pia.Kila siku Magufuli Magufuli,nyinyi mnao mpinga mmefanya kipi kwa Taifa!bora Masoud Kipanya katubunia gari ya umeme.Kumbuka hutakumbukwa kwa Bla bla unazofanya,utakumbukwa kwa alama uliyoiacha baada ya kufa.
Sawa alikuwa na akili ila sasa kafa, je? bado mataka awaongoze akiwa kaburini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…