Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Rejea Pt 1 hapa kilimo cha alizeti [emoji116][emoji116][emoji116]
www.jamiiforums.com
Msimu huu nataka kulima ekari 50 za mahindi na ekari 20 za alizeti
Nitaleta mchanganuo na mrejesho kila hatua [emoji120][emoji120]
TAARIFA
Wakuu wale mlikua mnasubiria mrejesho mniwie radhi nilipata changamoto ya battle kisheria kukomboa kiwanja changu nikashindwa kwenda kulima
Msimu ujao LAZIMA nilime tena 🙏
Naingia Shambani very serious kulima Alizeti
Wakuu, Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama Milioni 40 Na sasa nataka kubet kwenye kilimo Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu Eneo SINGIDA kwetu kabisa...
Msimu huu nataka kulima ekari 50 za mahindi na ekari 20 za alizeti
Nitaleta mchanganuo na mrejesho kila hatua [emoji120][emoji120]
TAARIFA
Wakuu wale mlikua mnasubiria mrejesho mniwie radhi nilipata changamoto ya battle kisheria kukomboa kiwanja changu nikashindwa kwenda kulima
Msimu ujao LAZIMA nilime tena 🙏