Part one: Swali kwa wanaume tu

Part one: Swali kwa wanaume tu

Nimekumbuka
ikivaliwa shingoni huitwa mkufu na ikienda kiunoni hubaki kama cheni na ikija mkononi huitwa bangili so hutoelewa kitu kwa sababu inabadilika jina kutokana na mazingira

kubwa ondoa mambo ya ku assume
 
Nadhani ntagundua kwa kuangalia idadi ya mizunguko ya hiyo cheni.
Mfano ikivaliw shingoni itakua na mizunguko miwili, na ikivaliwa mkononi itakua na mizunguko zaidi ya miwili.
 
Kwa mujibu namna watu wanavyoumiza kichwa kutafuta majibu ya bidada juu ya cheni ya kiunoni a.k.a shangaa ya materials ya aina nyingine mbal ya ile iliyozoeleka, hii inaashiria kwamba kumbe ni idadi kubwa sana ya wanaume siku hiz huvaa hivi vitu aiseee.. ( si mimi lakin, ni kwa mujibu wa swal.. [emoji23][emoji23]
 
Weka picha ya kiuno chako nione kama inafanana na hii cheni
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
Nitaelewa vizuri tu
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
mi siwezi kuelewa!
Sababu issue ni matumizi to many, sina uhakika kama kuna specifications maalum za cheni za kiunoni!
chain ukiiweka shingoni, siwezi jua kuwa ni ya kiunoni, ila ukiiweka mkononi kwa kuwa itakuwa na mizunguko mingi kuliko kawaida naweza kuhisi kuwa ni ya shingoni na wala sio kiunoni!
Ila akivaa shanga iliyozungushwa several times mkononi nitajua tu kuwa hii haikutengenezwa kwa ajili ya mkono au shingo!
 
Nazijua tu shanga hao wa cheni sikubahatika kuonana nao

Jibu siwezi kuutambua
 
Kabla sijakujibu una vyeti?.... Maana swali lako limekaa kizinzi zinzi tu!
 
il_340x270.987733322_2sie.jpg
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
Kwahiyo unadhani wake zetu wote ni jamii ya nyani kuveshwa kamba kiunoni?
 
sasa hili swali lako ndugu yangu,lina mchango gani ktk ujenzi wa Tanzania mpya ya viwanda?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
Kwangu mimi hili swali nilivyolielewa ni hivi huyo mwanamke atakua amepita anelekea anakokujua huku wewe(mwanaume) kwa bahati wakati uki kijiweni au mnapishana njiani ndio mtamuona kuwa kavaa cheni shingoni au mkononi, kwa hiyo basi kama sio mke wako ama girlfriend wako hauwezi ukajua kama huyo mwanamke anavaaga cheni kiunoni mpaka useme hiyo aliyovaa ilikua ya kiunoni.
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
Itakia ndefu sana... SO itajulikana kuwa hii ni ya kiunoni
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
Swali linauliza wangapi watagundua,wakati huo huo anayeulizwa ni mmoja. Kama swali hili ndo kipimo cha IQ,basi muuliza swali atakuwa na IQ ndogo sana.
 
Haiwezekan cheni yakiunoni ukavaa mkononi
Kwanza kiuno kikubwa mnoo kushinda ulivyovisema hapo
 
Back
Top Bottom