CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
hongera spika....ila inaitwa party,,,,sio part.....
Mambo gani?Inamaana yale mambo yetu hamna ata kidogo au unatania?
Mambo gani?
napenda sana kuandaa minuso!hebu niPMKiingilio:bure.
Mahali:Nyumbani kwangu UK-DAR
Vinywaji:Non alcohol
Msosi:Nyama choma kwa sana na ugali dona/mtama/muhogo.
Tar/muda:itapangwa baadae kidogo.
Dhumuni(ndege3 kwa jiwe1)Ufunguzi wa kakibanda kangu kapya/siku ya kuzaliwa kwangu/Kujuana na wana JF wote watakao pata nafasi ya kuhudhuria.
Ntapenda kupata idadi kamili ya wageni wangu 30days before!
Ntapenda kupata around 5JF members(kamati)watakaonisaidia kuandaa bajeti.
Narudia tena kwamba ni free of charge.
Nawashukuruni wote na ntaweka taarifa kamili within few weeks.
Have nice weekend every body!
Ntafurahi kama hutathubutu kuja na kinywaji cha namna hiyo mkuu!!!!!Ngoja nijipange kuja ...Nitakuja na Wine yangu...maana Nyama choma na Soda looooooooooooh hali ngumu
Asprin wala fidel80 huwaoni hapo
Serious?muda ukifika ntaurudisha huu uzi ili nipate hao 5jf members.napenda sana kuandaa minuso!hebu niPM
Ntafurahi kama hutathubutu kuja na kinywaji cha namna hiyo mkuu!!!!!
Thx 4 ur understanding.Asante na ubarikiwe tutaonana kwenye tukio