We nani kakwambia kuwa AMO ni daktari anaefanya operations zote? halafu kama umeandika hukijui unachokiandika...
mwambie yeye aandike halafu aseme yuko wapi na zaidi ya Caesarean section anaweza kufanya procedure gani ingine..
Tafadhali alisiseme anaweza kupasua majipu,