Party Primaries ya ODM leo katika kaunti za Turkana, Busia na Mombasa

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Habari ya Muda
.
Chama Kikuu cha Upinzani Kenya ODM leo wanaendesha party primaries katika County tatu Turkana, Mombasa na Busia.
.
Ni kwa lengo la kupata atakaepeperusha bendera za chama hicho katika nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi mkuu baadae September.
.
Kilichonivutia zaidi ni uchaguzi kuendeshwa kidigitali.
.
Unapiga kura unaiona kura na inahesabika immediately.
.
Yaani voter wa mwisho akifanya maamuzi yake basi mshindi anapatikana within 0.000 seconds .
.
Kwa Huku Tanzania Nadhani Chadema wawaige Odm Ili wasonge mbele kuonyeshe mfano kwa kuwa na mifumo hii kwenye chaguzi za chama kuanzia ngazi za wilaya-Taifa.
.
Pia watakua ni wa mfano sana wakitumia katika Party Primary zao.
.
Wasiishie kupiganania uhuru Wa Tume ya Uchaguzi ya Nchi Wakati wao Uhuru Huo Hauonekani ndani ya Chama Chao Kwenye Primary Stage to Secondary Stage.
.
Wakitumia Mfumo wa Odm Hii italeta Uwazi, Uhuru na hatimaye Credible elections Ndani ya Chama Chai
View attachment 2181555
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…