Party ya mtoto Hamisa Mobeto na Diamond, Prince Dee ilinoga hatareee

Party ya mtoto Hamisa Mobeto na Diamond, Prince Dee ilinoga hatareee

ObieTrice

Senior Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
159
Reaction score
154
Mwanamitindo Hamisa Mobetto alifanyika Party kwa ajili ya mwanaye ‘Prince Dee’. Mrembo huyo alipata nafasi ya kutoa burudani kwa wadau waliojitokeza ukumbini hapo ambapo alionyesha uwezo wake wa kukatika mauno kupitia wimbo, Salome wa Diamond ambao pia alicheza vitendo kwenye official video ya wimbo huo.
Wasanii waliperfom akiwemo Christian Bella.

 
ingekua ya mtt ingefanyika mchana wtt wenzie ndo wangehudhuria hyo aliyofanya alijifanyia mwenyewe ndio maana palikua hakuna wtt ....show off zimezid
Leo nimetoka kumwambia mtu kwamba parties za watoto kujazana wazazi wengi kuliko watoto ni kuondoa maana ya party kuwa ya watoto.

Watoto wanakuwa kisingizio tu.

Party ya watoto ina kukata mauno?

Tumeenda birthday parties za utotoni. Hazikukusanya wazazi. Zilikusanya watoto.
 
Leo ninetoka kumwambia mtu kwamba parties za watoto kujazana wazazi wengi kuliko watoto ni kuondoa maana ya party kuwa ya watoto.

Watoto wanakuwa kisingizio tu.

Party ya watoto ina kukata mauno?

Tumeenda birthday parties za utotoni. Hazikukusanya wazazi. Zilikusanya watoto.
kabisa siku hizi wanapoteza hata maana
ya party za wtt
 
Mwanamitindo Hamisa Mobetto alifanyika Party kwa ajili ya mwanaye ‘Prince Dee’. Mrembo huyo alipata nafasi ya kutoa burudani kwa wadau waliojitokeza ukumbini hapo ambapo alionyesha uwezo wake wa kukatika mauno kupitia wimbo, Salome wa Diamond ambao pia alicheza vitendo kwenye official video ya wimbo huo.
Wasanii waliperfom akiwemo Christian Bella.


Yani unamshitaki Diamond ili akupe pesa za kufanyia upuuzi huu?

Ama kweli aliyeturoga kafa.
 
Ajabu! Pesa ya kufanyia sherehe anayo ya kutunza mtoto hana.
Leo nimetoka kumwambia mtu kwamba parties za watoto kujazana wazazi wengi kuliko watoto ni kuondoa maana ya party kuwa ya watoto. Watoto wanakuwa kisingizio tu. Party ya watoto ina kukata mauno? Tumeenda birthday parties za utotoni. Hazikukusanya wazazi. Zilikusanya watoto.
Hapo ndipo vichwa vya wanaume vinapouma, hata ukitazama picha na video ni "me, me and me", weka ndani demu kama huyu uone cha moto! Hapo hakuna kupika, usafi wa nyumba, gardening au shughuli zozote za nyumbani! Kisa kazaa na wewe?! Bure kabisa..
 
Wanaume mjifunze, nwanamke si sura au shepu, ni kichwa jamani, yaani huyu huenda dai aliahidi vitu vingi kiasi kachanganyikiwa sana, 40 ya mtoto kufanya hivi na wapambe wake wanasema kamdhalilisha zari kwamba anajifanya ana pesa pat yake kiboko ya zari ni ya madela! Jamani! Tunapoelekea wanawake tutakuja kuchinjana maana uke weza ni uadui mkubwa.
 
TAZAMA Mwenyewe Zari The Boss Lady Ilivyokuwa Shangwe katika uzinduzi wa Mall | Dar Es Salaam
 
Back
Top Bottom