Party ya mtoto Hamisa Mobeto na Diamond, Prince Dee ilinoga hatareee

Ilikuwa sijui inahusu nini huyu bint anataka chiz


Hajitambui na ndiyo maana Diomond alikuwa anampiga miti kwa miaka 9 kwa kumficha kwani hakutaka kuchekwa. We mtu unapigwa miti kwa kufichwa tena miaka 9 kisha unajisifia, kama kweli alikuwa wa maana si angetambulishwa? Huyu demu anahitaji maombi jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…