"Pasaka "is direct proportional to makoloni yangu kunitafuta.nmegoma nakula alone

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Tokea juz nmekua napigiwa sim na hawa mabint kwa speed ambayo nahis ni sabab ya skukuu...

Hapa nyuma,niliamua kwakwel kuya cancel makoloni yoote sabab niliona hayana tija,..ni bora hzo pesa niwe namnunulia mama yangu magauni na viatu ,ni bora afurah mama angu kuliko hawa watu.

Alikuepo singo maza m1 matata sana,.alikuepo bint m1 wa stationery flan hiv,..alikuepo bint mwingne huyu kupika kwake mwiko,..na cha mwisho ni kitoto cha udsm hiki ndo naenda nacho sawa ingawaje hakijanitunuku bado,..

Hao woote kasoro katoto hako,niliwacancel kwa style fulan ambayo sio direct ila mpaka sasa ni karibia miez mi wili..sasa gafla naona sim kadha wa kadha

Je,ni mapenz ama ni skukuu,mwingne kadirik et nakuja tuyaongee kwako,akadakia utakula nin nije pika,

hahahah,aisee,..ukubwa raha sana,..i remember those days jins papuch ilivyokua adim kwangu,leo nazikimbia mwenyew,hahah

Sorry kwa uzi wa kijinga
 
Siku za mapumziko ni nne.
1. Ijumaa ingiza single maza.
2. Jumamosi ingiza wa stationary.
3. Jumapili kuanzia saa 4 mpaka saa 1 ingiza huyo wa kupika mwiko.
4. Jumapili hiyo hiyo kuanzia saa 3 usiku mpaka jumatatu ya pasaka iishe kaa na student aa UDSM.
Hakika utabarikiwa sana maana utakuwa umetimiza hitaji la mioyo yao....
Kutoa ni moyo si utajiri just supply free DD
 
hahahah,aisee,..ukubwa
raha sana,..i remember
those days jins papuch
ilivyokua adim kwangu,leo
nazikimbia mwenyew,hahah Sorry kwa uzi wa kijinga
 
Hau oldi a yu ?
 
Hahahaha,..mashine yenyew hii hii 1 mkuu.?si ntatoa upepo mkuu
 
Kwa kuwa utakuwa unapata masaa ya kupumzika huwezi toa upepo...Kula vizuri tu
Hahahah,sitoweza mjomba,mi mwanaume wa dar,..hahah.labda nitumie dahwa kidogo.mihogo.mbata,karanga,na mchuz wa ngisi au pweza,hiv hiv,m1 lazma atalalamika sina nguv.si mchezo,af hyo mizigo ni mizigo kwelkwel,kama,huyo singo maza,balaa
 
Hahahah,sitoweza mjomba,mi mwanaume wa dar,..hahah.labda nitumie dahwa kidogo.mihogo.mbata,karanga,na mchuz wa ngisi au pweza,hiv hiv,m1 lazma atalalamika sina nguv.si mchezo,af hyo mizigo ni mizigo kwelkwel,kama,huyo singo maza,balaa
Kawaida huwa tunapeleka moto kwa watatu kwa siku moja... Muhimu upate 2 to 3 hours za mapumziko na kutoa janaba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…