Nipo Kiev hii leo😃Asalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako. Karibuni.
Nimependa nilichosoma ❤️Sebuleni kwangu huku naburudika na cartoon na wanangu pembeni baba yao bila kusahau vinywaji pembeni...
Ili Chelsea mfaidi nini? Jitahidi kutoka huko mikiani maana na rungu la FFP linakuja mnakatwa point 20.Ndani… nawazoom Liverpool, natamani mno yafungwe
Uolewe sasa na wewe.Nimependa nilichosoma ❤️
ZanzibarAsalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako. Karibuni.
Umeandika maniniIli Chelsea mfaidi nini? Jitahidi kutoka huko mikiani maana na rungu la FFP linakuja mnakatwa point 20.
Olewa wewe kama ni rahaUolewe sasa na wewe.
Afadhali ulienda 😂Home kwa maza ni kubonya ubweche tu.
Heri ya wewe una MamaHome kwa maza ni kubonya ubweche tu.
Hivi kiwanda cha dimon hapo kingoluwira bado kipo?Cate Hotel, Kingolwira