Pasaka unailia kiwanja gani?

Inaonekana kwako kuolewa ni mafanikio makubwa mno, maana kila wakati unawaza habari za mume tu, hongera kwa kuolewa ila binafsi sijaolewa na kwangu kuolewa siyo mafanikio chief
Duh, kweli watu mmevurugwa, muda wote umekaa ki hostility tu. Enzi hizo nipo MD4, Dr Shayo wa MUHAS pale aliwahi kunifundisha mood disorders and clearly i can get a glimpse of them when i see them.
 
Duh, kweli watu mmevurugwa, muda wote umekaa ki hostility tu. Enzi hizo nipo MD4, Dr Shayo wa MUHAS pale aliwahi kunifundisha mood disorders and clearly i can get a glimpse of them when i see them.
Sasa mjomba kati ya mimi na wewe nani amevurugwa na ana mood disorders, wewe from nowhere umenivamia na habari za "mumeo ana kazi kubwa" mara "mumeo hajambo", mpaka nakushangaa ila cha ajabu wewe hujishangai unanishangaa mimi, je unanifahamu na una uhakika kama nimeolewa, mental health is real wallah..nigga you are a real pyschopath!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…