Pascal Mayalla ataka wataalamu wa Kemia waje watueleze sintofahamu ya Fumigation na Barakoa baada ya kutafakari hotuba ya Rais Magufuli

Nasikia leo umempongeza Jiwe mpaka kinyaa. Nasikia umekubali kujifukiza, na kila kitu. We jaribu ndugu yangu unaweza kuambulia maana jamaa anataka kusifiwa/kuabudiwa na kale ka Jina ketu ka kisukuma anaweza akasikia....
Bravo!
 
Nasikia hapo Ufipa nafasi za kugombea ubunge zimejaa!
johnthebaptist mimi nakuamini kwa kiasi fulani hapo Lumumba. Mimi sina unasaba na CDM! Ila kwa ukatili wa jiwe, kuminya uhuru wa watu, kupoteza watu, kufunga watu, persecutions etc ndiyo inayonifanya niichukie CCM.
CCM ikiacha "mauji" ikawa na policy nzuri, (kitu ambacho hakiwezekani) nitabadilisha msimamo
CDM naona kama mkombozi/msemaji wa wanyonge! Lazima niwaunge mkono!
 
Huenda wanaitwa wanakataa kwa hofu kwamba kauli ishatoka ya kwamba fumigation haiui virusim. Mtaalamu atakuwa na uthubutu kusema kinyume na kauli hiyo? Ni akina Mayala tu home boys ndo wanaweza
 
Baada ya corona kuisha mara paaaa! Inashuka sauti kutoka mbinguni ikisema ;"""haya nimeshachukua watu wangu na kuwapeleka mbinguni nyie mliobaki subirini moto wa milele""" Aloo! apo ndo utajuta kwanini ulikua unavaa barakoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemsahau mrisho mpoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…