Multaza Hr
Member
- Jan 10, 2025
- 83
- 182
Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kijana?Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Mzee wa 60yrs wasema kijana ? Au ndio sababu Wassira kapata uteuzi at 80yrs kijana bado....kweli mjini hakuna mzeePascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Sasa hivi ana miaka sitini, technically kiutumishi ame-expire, anatakiwa kutupwa katika dustbin
Paschal amechoka kukaa kitaaJoined JANUARY 10, 2025 😄😄 Bwana paskAli bhana kufanya interview na wasira haimanishi atakupendekeza Hadi kujianzishia thread yupo hapo kama Toy wasukuma Kete wapo nyuma..
Pole Sana. Bwana paskal mayalla kosa lako unalijua lakini Hadi ukose uteuzi?
Ateuliwe awe Mkurugenzi wa Uhuru mediaSasa hivi ana miaka sitini, technically kiutumishi ame-expire, anatakiwa kutupwa katika dustbin
Mzee Pascal Mayalla anataka angalau URC au ubunge na sio UDC.Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Ana ujana gani?Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Pascall mbona anakaribia kustaafu utumishi ..Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
Wasira akisoma hii atacheka sana.Sasa hivi ana miaka sitini, technically kiutumishi ame-expire, anatakiwa kutupwa katika dustbin
Yupo Dodoma ,mwambie aongee na M/ mwenyekiti ,Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina .
Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.