Pascal Mayalla huu ndo muda wake wakuitumikia nchi, naomba Serikali imfikirie Mtanzania huyu mzalendo

Joined JANUARY 10, 2025 😄😄 Bwana paskAli bhana kufanya interview na wasira haimanishi atakupendekeza Hadi kujianzishia thread yupo hapo kama Toy wasukuma Kete wapo nyuma..

Pole Sana. Bwana paskal mayalla kosa lako unalijua lakini Hadi ukose uteuzi?
 
Sasa hivi ana miaka sitini, technically kiutumishi ame-expire, anatakiwa kutupwa katika dustbin

Sikuhizi bwana paskali anajiita Kijana Sababu yeye anamiaka 60, refer Case study: Wasira- Kaimu Mwenyekiti CCM TAIFA - (UMRI 80)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…