Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.

Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.

Kwa sababu gani?

Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.

Umaarufu wake ulisababishwa na nini?

Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”

Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"

Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”

Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.

Umaarufu wake ni huu.

Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.

Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikuwa ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.

Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.

Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.

Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.

Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.

Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikuwa Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.

Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.

Yeye ukimlaumu atakuambia
"Read between the lines"
 
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana.
Huyu jamaa hanijui lkn Mimi namjua Sana,Watanzania wengi twamjua Sana,EAC wengi wanamjua Sana ingawa yeye anawanua kwa kuwaona watu wachache Sana,lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania,umaarufu wake ulsababishwa na Nini?
Kwa wasiokua historian huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai Hadi Leo la KITI MOTO
Neno kiti Moto leo linatumika Kama hivi" da Leo nyumbani nimeweka kiti Moto na wazee kwnini sitaki kuoa"
"Yule mtu Leo kawekwa kiti Moto Hadi kalipa Deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi,"twendeni nikawanunulie kiti Moto pale wanajua Sana kuitengeneza nyama ya kiti Moto"
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi Kama sijakosea Pascol alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi Sana na hata wasio Watanzania,kipindi hiki ukuikosa unajuta,maofisini,mitaani,magengeni,mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi Cha Jana usiku Cha kiti Moto.
Kiti Moto ilikua inaita watu maarufu hususan viongozo Pascal alikua anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikua wanaona kiti kinaunguza nicha Moto,hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu Hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali Tata Sana Hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kifupi kilikua kipindi kitamu Sana watu making hwakupenda kukosa kukiona.maswali yake yalikua mazuri ya msingi ya kujenga inagawa wakuu walikiona Cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule,najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka
Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kizielewa kwa vijana wa leo.mada za mafumbo,zakuuma na kupuliza,za kutotaka lawama,anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"lead between the lines"
Sipendi kumkandia Mayalla ila nikukosoe kidogo. Mara nyingi anayeonekana kwenye lensi ni mtangazaji lakini ujue kazi yake kubwa ni kusoma maswali ambayo ma producer wamemtayarishia. Nikikumbuka vizuri Masai Studio ndiyo walikuwa ma producer wa Mayalla. Hivyo sifa zote ziende kwao na kwa Mayalla pia.
 
Paschal wa kipindi kile alikuwa paschhal sio huyu wa kipindi hichi amebadilika sana ila tusimlaumu sana umri nao na njaa lazma abadilike
Pascal wa wakati ule alikuwa na njaa kubwa ya kuinua kipaji chake na kupata pesa kuwa na kampuni yake. Huyu wa sasa ana familia yake. Mnataka awe shujaa wenu wakati mnashindwa hata kumsaidia Kabendera. Mnashindwa kumsaidia Ben sanane. Huo ushujaa wa kuwafanyia watanzania waliojaa unafiki kwa awamu hii unatoka wapi?
 
Sipendi kumkandia Mayalla ila nikukosoe kidogo. Mara nyingi anayeonekana kwenye lensi ni mtangazaji lakini ujue kazi yake kubwa ni kusoma maswali ambayo ma producer wamemtayarishia. Nikikumbuka vizuri Masai Studio ndiyo walikua ma producer wa Mayalla. Hivyo sifa zite ziende kwao na kwa Mayalla pia
Kabla ya kuwekwa Kitimoto na Ndugai si alikua na Akili ya kawaida tu ya kisomi?
Lakini baada ya kuwekwa kitimoto na hao jamaa wa ki CCM kawa Dondocha la uswaizi.
Kiufupi ni kwamba ameuza utu wake kwa Mabeberu wa Kiafrica kaishiwa kwa ajili ya njaa.
Pole sana Mayala Fikra zako umeuza mwenyewe.
 
nimesema mpaka mwisho ndio nikajua nimesoma utoto baada ya kuona " lead between the lines* badala ya "read between the lines
Nimekosea tu kuandika sisi wengine sio waandishi, hata kwa Kiswahili Sisi waswahili tunakosea Sana tu, wakati kiswahili ni Mali yetu. Ntasahihisha Mkuu.
Pascal gani amewahoji wanasiasa mwaka 1995, Pascal huyuhuyu wa JamiiForums au mwingine ???
Sikumbuki vizuri mwaka lakini ni Kupitia Tv Za Ama DTV au channel 10
 
Pascal wa wakati ule alikua na njaa kubwa ya kuinua kipaji chake na kupata pesa kuwa na kampuni yake. Huyu wa sasa ana familia yake. Mnataka awe shujaa wenu wakati mnashindwa hata kumsaidia Kabendera. Mnashindwa kumsaidia Ben sanane. Huo ushujaa wa kuwafanyia watanzania waliojaa unafiki kwa awamu hii unatoka wapi?
Hapo ndio inabidi akae kimya kuliko kugeuka kutetea ujinga. Kama aliyoshauriwa Askofu Pengo ni bora kukaa kimya kuliko kutetea upumbavu.
 
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana.
Huyu jamaa hanijui lkn Mimi namjua Sana,Watanzania wengi twamjua Sana,EAC wengi wanamjua Sana ingawa yeye anawanua kwa kuwaona watu wachache Sana,lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania,umaarufu wake ulsababishwa na Nini?
Kwa wasiokua historian huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai Hadi Leo la KITI MOTO
Neno kiti Moto leo linatumika Kama hivi" da Leo nyumbani nimeweka kiti Moto na wazee kwnini sitaki kuoa"
"Yule mtu Leo kawekwa kiti Moto Hadi kalipa Deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi,"twendeni nikawanunulie kiti Moto pale wanajua Sana kuitengeneza nyama ya kiti Moto"
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi Kama sijakosea Pascol alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi Sana na hata wasio Watanzania,kipindi hiki ukuikosa unajuta,maofisini,mitaani,magengeni,mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi Cha Jana usiku Cha kiti Moto.
Kiti Moto ilikua inaita watu maarufu hususan viongozo Pascal alikua anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikua wanaona kiti kinaunguza nicha Moto,hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu Hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali Tata Sana Hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kifupi kilikua kipindi kitamu Sana watu making hwakupenda kukosa kukiona.maswali yake yalikua mazuri ya msingi ya kujenga inagawa wakuu walikiona Cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule,najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka
Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kizielewa kwa vijana wa leo.mada za mafumbo,zakuuma na kupuliza,za kutotaka lawama,anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Tatizo lake kubwa ni ukabila, ameamua kujiunga na wasukuma maana wamesema sasa ni zamu yao
 
Paschal wa kipindi kile alikuwa paschhal sio huyu wa kipindi hichi amebadilika sana ila tusimlaumu sana umri nao na njaa lazma abadilike


Atleast mtoa mada amemwelezea P!
Jamni mbona mada za Paskal ukizisoma unaona kbs huyu anapaka mafuta kwa mgongo wa chupa??nashidnwa kuelewa why watu hawamwelewi..inafika muda mtu anasema analilia teuzi🤣🤣!mie mada za Paskal nikisoma hua nacheka had kupaliwa!..anaandika kinyume nyume had unakereka🤣🤣🤣
 
Sipendi kumkandia Mayalla ila nikukosoe kidogo. Mara nyingi anayeonekana kwenye lensi ni mtangazaji lakini ujue kazi yake kubwa ni kusoma maswali ambayo ma producer wamemtayarishia. Nikikumbuka vizuri Masai Studio ndiyo walikua ma producer wa Mayalla. Hivyo sifa zite ziende kwao na kwa Mayalla pia
Sawa kabisa hata Mimi simkadii, Bali namtaka Pascal wetu wa zamani. Haha haa.
 
Kabla ya kuwekwa Kitimoto na Ndugai si alikua na Akili ya kawaida tu ya kisomi?
Lakini baada ya kuwekwa kitimoto na hao jamaa wa ki CCM kawa Dondocha la uswaizi.
Kiufupi ni kwamba ameuza utu wake kwa Mabeberu wa Kiafrica kaishiwa kwa ajili ya njaa.
Pole sana Mayala Fikra zako umeuza mwenyewe.
Hajauza utu wake anaithamini familia yake. Wewe keyboard warrier unapata wapi ujasiri wa kumsema mtu ambaye anajulikana hapa wakati wewe unajificha kwa anon name?????
 
nimesema mpaka mwisho ndio nikajua nimesoma utoto baada ya kuona " lead between the lines* badala ya "read between the lines
Tatizo Sisi Watanzania huwa tunaangalia lugha hatuangalii ujumbe,
Hata kiswahili chetu tu mhitimu wa chuo kikuu anakosea kiswahili badala ya kusema tafadhali anasema tafazali.
Makosa madogomadogo haya ndugu. Tuangalie ujumbe.
 
Back
Top Bottom