sidhani kama kashagonga sitini...hapana nafikiri bado bado anasogea...afu kuna mzee mmoja alishasema kazi ya ofisini si kama kazi ya kuchanganya zege!! ha ha haKazeeka huyu siku hizi
Kukatishana tamaa huku! Kwanza nani kafukua kaburi?Kama alikosa teuzi zama zile nadhani akubali tu matokeo
Mzee nini kimeenda mbaya? Mbona umefukua kaburina baadae tukakirudisha dtv
Daah, kitambo Sana nilianza kumsikia nikiwa shule ya msingi miaka ya 90,ni mbobez na anajua vitu mno, kisiasa, kijamii na kiuchumi na ndio maana kwenye kipind chake cha kitimoto alifanikiwa Sana, cha ajabu watangazaji wa siku hizi, wanajua epl, laliga na muziki tu, hawana general knowledge kama Pascal. Alimpiga swali mwendazake nikamuona mwendazake kama alipaniki hivi, akamrushia utani wa kumdiscourage akitumia maana ya Mayala kwa kisukuma. Toka hapo alipoteza uelekeo kwa kutokuona na akaona ajipambanue zaidi kuwa yeye ni Kada Lakin amesahaulika.Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.
Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.
Umaarufu wake ulisababishwa na nini?
Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”
Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.
Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.
Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.
Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Paschal kilichompoza ni tamaa ya vyeo. Over kwasasa mwandishi wa habari naye mkubali kwa maswali ya uhakika ni Doto BulenduPascal ni nguli wa tasnia ya habari hilo halina ubishi... Ambacho kinasababisha hawa manguli waonekane kama sio chochote ni hali za kiuchumi... Wakati dunia na tasnia ya habari inabadilika , hawa manguli hawakwenda na mabadiliko na mwisho wa siku vijana wadogo wamechukua nafasi zao, hasa kwa kuunganisha technologia na taaluma... Bado hajachelewa sana , anaweza kuanzisha studio yake na akatumia mitandao kuhoji watu mbalimbali na hasa viongozi wakubwa wa siasa na biashara na lazima waige akina Oprah.. Skills za Oprah ni kuuliza maswali na kufanya presentation nzuri... Wakongwe wanaojua sanaa wamepotea sana na kupoteza mguso, mwangalie Sued Mwinyi, Mtangazaji wa mpira nguli, Masoud Masoud anaujua muziki unatamani kipindi kiisiishe.. Wote hawa hawatumii technologia ya kisasa , wangefika mbalimbali zaidi.. Tunaona sasa hata clips za akina chumvi na Zembwela zinawekewa matangazo , hata UJUGU naye anapiga hela... Pascal onyesha njia ingia benki, fanya ubia na vijana wadogo wa sasa ... utatoka na kuheshimiwa.
Kosa pekee la Pasko ni kugeuka MATAGA. Unfortunately, MATAGA wamezikwa na Mwendazake 😊Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.
Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.
Umaarufu wake ulisababishwa na nini?
Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”
Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.
Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.
Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.
Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Nadhan kupata uteuz haimaanish kuwa ndio atastaafu kwa heshimaCCM inatakiwa wamfikirie huyu nguli wa habari ili walau astaafu kwa heshima, kawafanyia mengi mazuri !! teuzi na teuzi zinapita ila jina hatulioni - kulikoni? - si vzr hivi.
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.
Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.
Umaarufu wake ulisababishwa na nini?
Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”
Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.
Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.
Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.
Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
na baadae nikakirudisha dtvWalianzia DTV baadae wakahamia ITV
Paschal wa "Greatthinkers" alishastaafu tangu aitwe "Njaa" kwenye ile press🤣🤣Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.
Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.
Umaarufu wake ulisababishwa na nini?
Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”
Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.
Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.
Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.
Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Sasa wewe ndio umeandika kiswahili gani?..hebu soma ulichoandika!nimesema mpaka mwisho ndio nikajua nimesoma utoto baada ya kuona " lead between the lines* badala ya "read between the lines