Pascal Mayalla na Jacton Manyerere wakubaliana na Spika Ndugai kwa uamuzi wa kumrejesha Mwambe na wabunge 4 waliofukuzwa CHADEMA

NOPE that’ll be against my PRINCIPALS.
Me in JIWE’s government!!! That will never happen.
Hata Prof Kitila aliwahi kusema hivyo hivyo..... Lakini alipoteuliwa siku ya kuapishwa alifika Ikulu saa 12.00 asubuhi!
 
ni
 
Katiba inasemaje kwa mtu asiye na dhamana ya chama cha siasa kuwa mbunge? Kweli matamko na matakwa ya mtu yawe juu ya katiba? Kweli Mayalla na Manyerere mnatetea uvunjifu wa katiba unaofanyika mchana kweupe? Basi mna matatizo!
Yohana amesema Mayalla na Jacton wamesema spika anayo mamlaka ya ziada. Sasa ni mamlaka gani hayo ya ziada? Maana wewe umekariri ibara ya 71(1)(e) basi. Kumbe ili itekelezwe kuna mambo ya ziada amabyo lazima spika akamilishe.
 
Mayala Paskal anasaka uteuzi kwa udi na uvumba lazima ajipendekeze kwa Ndungai
 
Wakisema Ndugai hayupo sahihi ka TV ka watu katafungiwa! Kwa mazingira wanayozungumzia waacheni wazoze watakavyo! Ila kila mtu anajua Ndugai katowa boko la karne!

Sent using Jamii Forums mobile app
Paskali anajua kabisa kuwa hiyo si halali ila anabembeleza urafiki wa Kaisari, Kwa wale wabunge wanne wa CHADEMA kufukuzwa kwao hakuwezi kuzuiwa na spika. Eti spika anataka vikao....vya kazi gani? Yeye anapaswa kupewa taariva tu kuwa fulani fulani si wanachama wetu na yeye kutangaza. Ila suala la Mwambe lina technicality nyingi...Hata hivyo angeitwa na Spika ajieleze kwa kosa la kutohudhuria bunge bila taarifa kama CHADEMA hawakutuma barua ila kwa vile spika anajua kilichokuwa kinaendelea akafunga macho, angemuuliza alikuwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…