Anajidai anajua sana Kiingereza, ndiyo shida ya wasukuma wafupi
Alifanya vizuri, kuashiria hafungamani na upande wowote na kwamba swali lake si lakishabiki kama wengi walivyokuwa wakiuliza kishabiki zaidi
Na hapo ndo swali langu lilipojikita, mimi nildhani mtu an declare interest kama anafungamana na upande fulani, kinyume na hapo angepaswa kuchangia bila ku declare interest au ni vipi jamani. Naomba kuelimishwa nijue matumizi sahihi ya maneno haya.
hahahahahaaaaa!!!Pasikali menyewe namuona kwa mbaaali..kaaz kwelkwel.
Muzee are u talking in tongues?? nimestukahahahahahaaaaa!!!
Yupo Kirua Vunjo bana!! hayupo humu!