Siku hizi uji na tambi zinalewesha kuliko bangiBangi!
Bangi!
Bangi!
na VILOBA.
Kwa vile mimi nimesoma Ilboru Arusha, kwa waliofika Ilboru, kwa baridi lile, kuota moto ni kawaida na cha Arusha nakijua.Pasco, saa hizi hizi nilikuwa nasikiliza kipindi chako cha nane-nane kwenye TBC na nilicheka ulipokuwa kwenye banda la kufugia kuku la VETA, nilicheka ulipokazania kumuonea huruma kuku kuwa sasa ndio kisha nunuliwa "anaenda kuchinjwa", uliiongea kwa feelings na ukarudia mara mbili tatu!
Mjomba hicho kilikuwa cha wapi? Dodoma? Nna uhakika feelings zile si bure!
Haikutakiwa uelewe, aliyeelewa hapa ni mmoja tu ujumbe umefika.
Enzi hizo.Pasco, saa hizi hizi nilikuwa nasikiliza kipindi chako cha nane-nane kwenye TBC na nilicheka ulipokuwa kwenye banda la kufugia kuku la VETA, nilicheka ulipokazania kumuonea huruma kuku kuwa sasa ndio kisha nunuliwa "anaenda kuchinjwa", uliiongea kwa feelings na ukarudia mara mbili tatu!
Mjomba hicho kilikuwa cha wapi? Dodoma? Nna uhakika feelings zile si bure!