Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
BURUDANI Mnanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize.
Hapo jana Msanii Pasha Mtepa akifanya Mahojiano na kituo cha Runinga cha East Afrika TV alisema watu wanamkosea heshima kumshindanisha na Harmonize kwa sababu yeye ndio wa kwanza kuuwakilisha mkoa wa Mtwara na amekaa muda mrefu kwenye game.
Pasha anasema wasanii wote wanaowakilisha mkoa wa Mtwara wanafanya vizuri kuanzia Harmonize, Ibraah na Kinata MC ila hataki kushindanishwa na Harmonize.
"Unanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize, mimi nimefanya vikubwa sana nimekaa miaka 7 bila ngoma kabla yeye hajatokea lakini nimeishika mioyo ya wana Mtwara, nimewaheshimisha na wanajivunia kuhusu mimi" amesema Pasha.
Hapo jana Msanii Pasha Mtepa akifanya Mahojiano na kituo cha Runinga cha East Afrika TV alisema watu wanamkosea heshima kumshindanisha na Harmonize kwa sababu yeye ndio wa kwanza kuuwakilisha mkoa wa Mtwara na amekaa muda mrefu kwenye game.
Pasha anasema wasanii wote wanaowakilisha mkoa wa Mtwara wanafanya vizuri kuanzia Harmonize, Ibraah na Kinata MC ila hataki kushindanishwa na Harmonize.
"Unanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize, mimi nimefanya vikubwa sana nimekaa miaka 7 bila ngoma kabla yeye hajatokea lakini nimeishika mioyo ya wana Mtwara, nimewaheshimisha na wanajivunia kuhusu mimi" amesema Pasha.