Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Ubovu.matumizi yako tuGari mbovu sana hizo Sina Ham nazo. Nlikua nacho nkaamua kukiuza na hapo bado matatzo ya Sterling lake ndo utauona moto kigari kitakua kinagonga balaaa utabidili kila k2 kumbe tatzo ni sterling lake
Kwa hapa me nnaona kunaPasso yangu ina shida nimempelekea fundi naona anazingua tu kila akisema hiki tunabadili lakin tatizo linakua liko pale pale,tatizo lenyewe ni kwamba hii gari haichanganyi yani nikikanyaga moto mpka mwisho inakua iko mwendo huo huo kama inasukumwa,tatizo linaweza kuwa nini wakubwa?
Kwenye Maelezo yake hajasema hayoSio gari ni Pikipiki, 600cc, 3 cylinders, kama wewe ni mtumiaji wa mjini tu au ni ya mke/mwanamke ni sawa, ila kama watembea sana, we jipange tu ununue kitu cha kueleweka
Kwenye Maelezo yake hajasema hayo
Niko Singida ila tugari twa hivyo aisee utatafuta sana Singida-Vingi viko darSingida iko DSM?
Hilo povu la nini???NI kweli, msaidie wewe basi, mpigie
Mkuu hii gari bado inasumbua au uliiweka sawa? Tunaomba mrejesho tafadhaliPasso yangu ina shida nimempelekea fundi naona anazingua tu kila akisema hiki tunabadili lakin tatizo linakua liko pale pale,tatizo lenyewe ni kwamba hii gari haichanganyi yani nikikanyaga moto mpka mwisho inakua iko mwendo huo huo kama inasukumwa,tatizo linaweza kuwa nini wakubwa?
Mkuu ukiona hakuna mrejesho kaa kimya,usikute mtoa mada kashafariki kwa presha passo ni ziraili mwingine hasa kwa sisi tupatao vipesa vya mkopo na kujikwamua kutafuta kipando na kikaanza kero.Mkuu hii gari bado inasumbua au uliiweka sawa? Tunaomba mrejesho tafadhali
Wanaume wa dar acheni kuendesha tugari twa kike
Gari yakike hiyo, ngoja wanawake waje kukujibuPasso yangu ina shida nimempelekea fundi naona anazingua tu kila akisema hiki tunabadili lakin tatizo linakua liko pale pale,tatizo lenyewe ni kwamba hii gari haichanganyi yani nikikanyaga moto mpka mwisho inakua iko mwendo huo huo kama inasukumwa,tatizo linaweza kuwa nini wakubwa?
Hahahahaaaaa,,,,,,umekata ngebena nyie wanawake wa mikoani mna maneno sana. acheni watu waishi wanavyotaka....
DuuuuhHiyo Passo si bora ufugie kuku tu