Ndivyo zilivyo hizo piston tatu hazina nguvu so lazima zile wese sana.Inakula sana wese iyo,piston 3 Paso inatakiwa 18L.
True hata mimi nilikuwa napata coverage hii hii ya 12.5 km per litre hadi 13km per litre.Cheki koil na nozzle plug pia badilisha. Nna passo yangu kama yako nikiweka full tank naenda 500km kama ni highway. Huwa naenda nayo safari kubwakubwa mwanza dar maranyingi tu
5W30 full thythetic ila ndo lita 1ni 30000Mambo vipi blaza kaka.
Nimekua nakufatilia sana maana namie nina Passo cc1290 piston 4.
Nahisi ulaji wake wa mafuta sio mzuri kama mwanzo.
Hivi hizo equipment ulizotaja kuweka zote mpya inaweza kunicost kufika bei gani nijiandae kisaikolojia?
Halafu umesema recommended engine Oil ni gani vile? ili niwe nayo akilini next service.
Passo 990 cc ukiwa safarini inahimili vizuri mkiwa abiria watanoPasso 990 cc inakula 15 to 18 km kwa lita, town trip za kwenye mafoleni ni 15 km ukiwa higway na ac 17km bila ac 18 km. Ninaongea haya from experience yangu mwenyewe. Ila zingstia oil sahihi, plug sahihi zile za sindano nafikiri moja inauzwa elf15