Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Haumanishi mkuu, huwezi kuonyesha kipande cha gari utrgemee wateja, piga picha kila upande
Amepiga tayari mkuuDada kasema nisipige picha nyingi
Kwa mantiki hiyo mnauza bodi tu?Passo
2005 YOM
3 piston
Engine problems
3.6 millions TSH
Makumbusho Dar es salaam
+255714908121
View attachment 1867759
View attachment 1867762
View attachment 1867764
View attachment 1867765
View attachment 1867766
Passo
2005 YOM
3 piston
Engine problems
3.6 millions TSH
Makumbusho Dar es salaam
+255714908121
View attachment 1867759
View attachment 1867762
View attachment 1867764
View attachment 1867765
View attachment 1867766
Gari ina waka na kutembea shida inalilia ubavuni!!..Engine problems zipi?
Ipo inalilia ubavuni (gari inatembea vizuri)Kama hamna engine chukua 1.9m
Hahahaha hiyo shida yake ni laki 3 tu (ipo na inatembea vizuri) mtu ambae hajui gari anajua ni nzima kabisa lakini kwasababu ni biashara lazima useme ukweli!!!Gari mbov bad mnauza bei juu
Ndugu rudi kajipange, biashara haipaswi kufanywa hivyo. Kabla ya kuuza gari nenda kaifanyie services muhimu ifae ili mteja atamani kununua, tena anunue kwa bei nzuri ya soko.Hahahaha hiyo shida yake ni laki 3 tu (ipo na inatembea vizuri) mtu ambae hajui gari anajua ni nzima kabisa lakini kwasababu ni biashara lazima useme ukweli!!!
Bahati mbaya hii ndio biashara yangu nauza gari nzima na mbovu pia nanunua!!..Hiyo bei ni ya gari nzima isiyo na tatizo lolote mkuu, mazungumzo yanakuwepo pia
Hahahaha 😂😂 hii gari ipo Makumbusho umeambia inauzwa ikiwa hivyo hata Japan ukitaka gari mbovu zipo unanunua tu NduguUkitumiwa tangazo na wale car from japan ile gali inakuwa na picha zaid ya 30, yaani kila kona unayona , wanakutajia sifa za ziada kama redio, airbag, sportlim, yaaani unajikuta unashawika kwa tangazo tu, lkn kibongo ameshindwa hata kupiga picha ya ndani watu waone siti livyoisha tuona mataili kipala.weka tangazo livutie wateja
unacheka kupoza maumivu ya kukosa wanunuzi auHahahaha hiyo shida yake ni laki 3 tu (ipo na inatembea vizuri) mtu ambae hajui gari anajua ni nzima kabisa lakini kwasababu ni biashara lazima useme ukweli!!!
Ndugu rudi kajipange, biashara haipaswi kufanywa hivyo. Kabla ya kuuza gari nenda kaifanyie services muhimu ifae ili mteja atamani kununua, tena anunue kwa bei nzuri ya
Sisi tunafanya biashara muda mrefu ndugu na hii gari ilikua ya mtoto kwenda shule hata ikikaa mwaka bado sina hasara rafiki!!... Karibuunacheka kupoza maumivu ya kukosa
Kwani kwenye kuendea mazoezi huwa wanavikokota au wanaendesha pia?Jamani mnaendeshaje vigari ambavyo wazungu wanatumia kwendea kwenye mazoezi.