Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Baada ya kugundulika mwili wa Pharaoh Ramesses 2 katika makabuli ya wafalme (Valley of Kings) huko Misri Rais wa Ufaransa Valéry Giscard d'Estaing katika miaka ya 1980 alifanikiwa kuishauri serikali ya Misri ikubali ombi lake la kuupeleka Mwili wa pharaoh huko Ufaransa ili ukafanyiwe preservation dhidi ya wadudu na hatari nyingine ambazo zingeweza kuuathiri mwili huo.
Serikali ya Misri iliamua kutoa passport kwa ajili ya Pharaoh ambaye alikuwa ameshafariki mwaka 1213 BC, katika passport hiyo ili kuonesha heshima kwa pharaoh na kutambua kazi yake sehemu ya profession waliandika Mfalme,na mwili huo ulipofika Ufaransa ulipewa heshima yenye hadhi ya kiongozi wa nchi kwa kuandaliwa gwaride maalumu la wanajeshi na heshima zote apewazo mkuu wa nchi.
Pharaoh anatajwa kuwa na watoto 200 na mwili wake ulipatikana mwaka 1881 kabuli lake lilikutwa na vitu vingi sana (kaburi lake lina zaidi ya ukubwa wa nyumba ya ghorofa yenye vyumba zaidi ya 6 ) ikiwemo maktaba ya vitabu 10,000 na perfumes nyingi.
Serikali ya Misri iliamua kutoa passport kwa ajili ya Pharaoh ambaye alikuwa ameshafariki mwaka 1213 BC, katika passport hiyo ili kuonesha heshima kwa pharaoh na kutambua kazi yake sehemu ya profession waliandika Mfalme,na mwili huo ulipofika Ufaransa ulipewa heshima yenye hadhi ya kiongozi wa nchi kwa kuandaliwa gwaride maalumu la wanajeshi na heshima zote apewazo mkuu wa nchi.
Pharaoh anatajwa kuwa na watoto 200 na mwili wake ulipatikana mwaka 1881 kabuli lake lilikutwa na vitu vingi sana (kaburi lake lina zaidi ya ukubwa wa nyumba ya ghorofa yenye vyumba zaidi ya 6 ) ikiwemo maktaba ya vitabu 10,000 na perfumes nyingi.