Password na agenda ya siri hamna lolote!!!

Password na agenda ya siri hamna lolote!!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Wakuu,Mng,
Naleta hili kwenye meza kuu.................Hivi hawa wenzetu hawa akina mama hujifanya wanatupenda sana hivi kati yao kuna anayethubutu kumpa mpenzi wake Password ya E-mail yake???!!Nijuzeni:banplease::amen:
 
Wakuu,Mng,
Naleta hili kwenye meza kuu.................Hivi hawa wenzetu hawa akina mama hujifanya wanatupenda sana hivi kati yao kuna anayethubutu kumpa mpenzi wake Password ya E-mail yake???!!Nijuzeni:banplease::amen:

Kama hana cha kuficha basi kila kitu kitakuwa wazi. Wewe utakuwa na hilo neno lake la siri na yeye atakuwa na la kwako. Ila tatizo ni kwamba mwenzako (haijalishi ni yupi) anaweza akawa hata na akaunti tatu au zaidi za barua pepe. Sasa anaweza akakuzuga na kukupa moja na wewe kweli ukaingia mkenge na kudhani mwenzako ni mwaminifu na hana cha kuficha huku akiwa na hizo zingine na kufanya apendacho kwa wakati wake.

Haya mambo ya mtandao yamebadilisha kabisa maisha ya watu katika kila nyanja. Sasa hivi kuna software ambazo mtu unaweza ukaziweka kwenye kompyuta yako ambazo kazi yake kuu ni kufuatilia tovuti ambazo mwenzi wako anazitembelea. Lakini hii na yenyewe hata si dawa maana mwenzi wako anaweza kwenda maktaba na kutumia kompyuta za huko au hata kutumia za kazini kufanya mambo ambayo hatakiwi kufanya (kwa mintarafu ya mahusiano ya kimapenzi) na akirudi nyumbani ni kama vile hajafanya chochote huku huenda alikuwa anawasiliana na mahawara wake wengine.

Ila, katika mazingira ambayo kila kitu ni shwari, kwa mtazamo wangu mimi, ni vyema kwa mume na mke kuwa na akaunti moja ya barua pepe. Tatizo ni utajuaje mwenzako hana ya kwake peke yake. Heheheheee......Mapenzi magumu bana. Ukifikiria sana unaweza usijiingize kabisa katika mambo haya. Maana hakuna anayeaminika tena siku hizi, si wanawake si wanaume.
 
MMh!!mi naona bora kila mtu awe na yake coz simu yangu tu ni bonge la bomu...siwezi kuiacha ata dakika 2 mbali nami. Na of course raha ya mapenzi kuwepo na siri japo kidogo and I dont mean infidelity ila siri za kazini, sometimes jokes kati yako na wafanyakazi wenzako mwenzi wako anaweza akazitafsiri vibaya ivyo ni lazima usiri uwepo.
 
MMh!!mi naona bora kila mtu awe na yake coz simu yangu tu ni bonge la bomu...siwezi kuiacha ata dakika 2 mbali nami. Na of course raha ya mapenzi kuwepo na siri japo kidogo and I dont mean infidelity ila siri za kazini, sometimes jokes kati yako na wafanyakazi wenzako mwenzi wako anaweza akazitafsiri vibaya ivyo ni lazima usiri uwepo.

Lol.............Mhn!! umenikuna!!
 
Wakuu,Mng,
Naleta hili kwenye meza kuu.................Hivi hawa wenzetu hawa akina mama hujifanya wanatupenda sana hivi kati yao kuna anayethubutu kumpa mpenzi wake Password ya E-mail yake???!!Nijuzeni:banplease::amen:

We unawapa za kwako??
 
sithubutu kuiweka ndoa yangu rehani kwa kweli, maana mail zinazoingia zinapofusha macho, si unajua mambo ya ofisini hayana tofauti na ya shule secondary!!? na yeye najua yuko sirious sana, akiona mambo yataharibika na naweza kuambiwa niache kazi. lol!
 
Bank Account,Email Address,Pin Code,Passwords,Cellphones...Duu better kila mtu awe na za kwake..kwa kweli..tunatofautiana sna katika kufikiri.
we sometime get aggry and do some weired things....
 
Nadhani watu tunashindwa kujua mipaka ya mahusiani ipo wapi. Kila uhusiano una mipaka yake, iwe ni urafiki, mapenzi, kufanya kazi pamoja n.k, ni lazima uweze kuchora mstari kuonyesha ni wapi mpaka ulipo.

Vitu kama e-mail, simu, diary, n.k ni vitu personal, na ndio maana vinamtambulisha mtu binafsi, na sio ndoa. Kama mnataka kuwa na simu au bank account ya ndoa, basi mkaifungue na iwatambue kama wana ndoa.

Mbona usiseme kushare e-mail na rafiki yako au ndugu yako? Kwani hilo haliwezekani?

Tatizo ni kwamba, the driving force behind all this kind of thinking ni wivu wa mapenzi. Unataka kujua undani wa mwenzio uone ni nini kinaendelea ndani mwake!

Mimi huwa sigusi simu ya mpenzi wangu hata siku moja. Na yeye pia huwa kamwe hagusi yangu bila ruhusa. Sio kwasababu namwamini sana, ila ni kwasababu najua ni kitu personal, na uhusiano wetu hauvuki hiyo mipaka.

Kuwa mpenzi wako, sio ndo uingilie kila kitu chake. Lets learn how to respect others privacy.
 
Kuwa mpenzi wako, sio ndo uingilie kila kitu chake. Lets learn how to respect others privacy.

I'm not getting this, isn't it that when you get married you become one? So where does privacy fit into the equation here? Why do you want privacy from your spouse? What do you have to hide?

To me honesty is the best policy. The only privacy I see in a marital relationship is the privacy of both husband and wife as one item. When you start hiding stuff from your spouse...where are you going to draw the line?

Oh well...I'm glad I'm not married coz it makes absolutely no sense for, say my wife, to hide some stuff from me. I'd dump her in a heartbeat if she were to do that.
 
I'm not getting this, isn't it that when you get married you become one? So where does privacy fit into the equation here? Why do you want privacy from your spouse? What do you have to hide?

To me honesty is the best policy. The only privacy I see in a marital relationship is the privacy of both husband and wife as one item. When you start hiding stuff from your spouse...where are you going to draw the line?

Oh well...I'm glad I'm not married coz it makes absolutely no sense for, say my wife, to hide some stuff from me. I'd dump her in a heartbeat if she were to do that.

U r right nyani,kwanini mfichane siri mke na mume? ni privacy ipi hapa inatakiwa?hata mimi sielewi kwa kweli.naombeni ufafanuzi, ni kipi hapa cha kufichana?
 
jamani sometimes privacy ni muhimu,sio kila kitu unaweza kumwambia mwenza wako kutokana na aidha nature ya kazi yako,assume wewe ni askari je utakuwa unaruhusu ishu za siri za kikazi mkeo au mumeo azijue???ni haiwezekani hata kidogo,vilevile katika uchakarikaji wa kutafuta maisha sio mambo yote ni straight au clean kuna wakati dirty games are played ili kupata baadhi ya viyu so usiri hapa ni wa lazima
email nyingi zina masuala ya kikazi na maagizo sasa ya nini mwenza wako ajitese kwa information zisizo na faida kwake?
wacha kila mtu awe huru so long as you are all faithful and you maintain fidelity
 
U r right nyani,kwanini mfichane siri mke na mume? ni privacy ipi hapa inatakiwa?hata mimi sielewi kwa kweli.naombeni ufafanuzi, ni kipi hapa cha kufichana?

I'm not getting this, isn't it that when you get married you become one? So where does privacy fit into the equation here? Why do you want privacy from your spouse? What do you have to hide?

To me honesty is the best policy. The only privacy I see in a marital relationship is the privacy of both husband and wife as one item. When you start hiding stuff from your spouse...where are you going to draw the line?

Oh well...I'm glad I'm not married coz it makes absolutely no sense for, say my wife, to hide some stuff from me. I'd dump her in a heartbeat if she were to do that.

Tatizo letu wengi hatujui tofauti ya SIRI na PRIVACY. Privacy sio siri, ila ni mambo binafsi yanayomhusu mtu mwenyewe binafsi, na si watu kama wanandoa, marafiki n.k. Kuna mambo ya wanandoa na mambo ya mtu binasfi.

Kitu ambocho ni privacy ni kitu ambacho huwezi gusa bila idhini ya huyo aliyenacho, hata kama ni mpenzi wako au rafiki wa kawaida tu, kuomba idhini yake kunaonyesha kuheshimu uhuru wake, na si kuficha siri. Pia, unapoomba kushika vitu ambavyo ni private, ni muhimu uwe na sababu, sio kuchukua tu!

Unaweza chukua kitu cha mtu, badala ya kujenga ukabomoa kwasababu mwenza wako anaweza kudhani kuwa pengine humwamini. Kama unataka kusoma SMS kwenye simu yake, ufanye hivyo ukiwa na sababu, vinginevyo huo utakuwa ni wivu tu unakuendesha.

Maana ya kuwa kitu kimoja mume na mke, sio kwamba ndio inaunganisha kila kitu. Je, unaweza kutumia kadi ya mkeo kwenda kuchukua hela benki? Hata kama una cheti cha ndoa, hawatakupa hizo hela, labda kama kutakuwa na documents alizokuruhusu kisheria uwe na access kwenye account yake. Hilo tu ni tosha kukuonyesha kuwa, kwa sababu umemuoa haimaainishi mnakuwa kitu kimoja kwa "maana ambayo nyie mnadhani".

Mnakuwa kitu kimoja kwenye baadhi ya vitu. mfano watoto wote wanakuwa ni wa kwenu, mnalala kitanda kimoja na kumiliki vitu pamoja, na mtakuwa mnatambulika kama familia moja n.k. Lakini bado kutakuwa na mipaka ya nini uguse na nini usiguse. Privacy, bado inakuwepo pale pale.

Waulize wasichana watakuambia. Kimaadili, kuna mambo ambayo hawaruhusiwi kukueleza hata kama wewe ni mume wake, ila kuwa watu ambao anashauriwa kuwaeleza, mfano shangazi, mama, n.k. Ukianzisha thread hapa, watakueleza ni mambo gani ambayo kama mume wake haruhusiwi kukwambia. Je, hii ni kuficha siri pia?

Narudia tena, kuna tofauti kati ya PRIVACY na SIRI. Na kuwa mkeo, sio kwamba ndo ushikeshike kila kitu chake!
 
Tatizo letu wengi hatujui tofauti ya SIRI na PRIVACY. Privacy sio siri, ila ni mambo binafsi yanayomhusu mtu mwenyewe binafsi, na si watu kama wanandoa, marafiki n.k. Kuna mambo ya wanandoa na mambo ya mtu binasfi.

The moment you say 'I do' your privacy goes out of the window. You no longer can expect privacy. You are going to share life with your partner - you will share the same bed, you will share the love that you have for each other, you will see each other naked almost everyday when you are around each other. Where is the privacy there? Find me a jurisdiction anywhere in the world that will allow one to sue his/her partner for invasion of privacy. I need just one example.

Kitu ambocho ni privacy ni kitu ambacho huwezi gusa bila idhini ya huyo aliyenacho, hata kama ni mpenzi wako au rafiki wa kawaida tu, kuomba idhini yake kunaonyesha kuheshimu uhuru wake, na si kuficha siri. Pia, unapoomba kushika vitu ambavyo ni private, ni muhimu uwe na sababu, sio kuchukua tu!
Kama uhusiano ni wa kirafiki i.e. boyfriend-girlfriend, basi hapo nakubaliana na wewe. Lakini kama uhusiano ni wa kindoa hakuna cha privacy wala nini. Mtu anaziona mali (privates) zako kila siku utasemaje kavamia faragha yako?

Unaweza chukua kitu cha mtu, badala ya kujenga ukabomoa kwasababu mwenza wako anaweza kudhani kuwa pengine humwamini. Kama unataka kusoma SMS kwenye simu yake, ufanye hivyo ukiwa na sababu, vinginevyo huo utakuwa ni wivu tu unakuendesha.

Maana ya kuwa kitu kimoja mume na mke, sio kwamba ndio inaunganisha kila kitu. Je, unaweza kutumia kadi ya mkeo kwenda kuchukua hela benki? Hata kama una cheti cha ndoa, hawatakupa hizo hela, labda kama kutakuwa na documents alizokuruhusu kisheria uwe na access kwenye account yake. Hilo tu ni tosha kukuonyesha kuwa, kwa sababu umemuoa haimaainishi mnakuwa kitu kimoja kwa "maana ambayo nyie mnadhani".
Sina hakika unazungumzia kadi gani hapa - kitambulisho ama kadi ya benki? Kama unazungumzia kadi ya benki basi unaweza kabisa kutumia kadi ya mwenzako kwenda kuchukulia hela benki. Kinachotakiwa ni wewe kuwa co-cardholder au second card holder. Mnaweza kufungua joint accounts. Mnaweza mkawa ma co-owners wa mali zenu zote mlizo nazo na ndio maana taasisi nyingi zinaruhusu utaratibu wa co-somethings au joint-somethings

Mnakuwa kitu kimoja kwenye baadhi ya vitu. mfano watoto wote wanakuwa ni wa kwenu, mnalala kitanda kimoja na kumiliki vitu pamoja, na mtakuwa mnatambulika kama familia moja n.k. Lakini bado kutakuwa na mipaka ya nini uguse na nini usiguse. Privacy, bado inakuwepo pale pale.
Haya bana...labda kwenye mji wako hivyo ndivyo mambo jinsi yalivyo

Waulize wasichana watakuambia. Kimaadili, kuna mambo ambayo hawaruhusiwi kukueleza hata kama wewe ni mume wake, ila kuwa watu ambao anashauriwa kuwaeleza, mfano shangazi, mama, n.k. Ukianzisha thread hapa, watakueleza ni mambo gani ambayo kama mume wake haruhusiwi kukwambia. Je, hii ni kuficha siri pia?
Hiyo ni kuendeleza mila za kipumbavu. Mimi nataka mke wangu anieleze kila kitu. I am her confidant and soul mate. If she can't tell me anything and everything then whole foundation of that relationship is shaky

Narudia tena, kuna tofauti kati ya PRIVACY na SIRI. Na kuwa mkeo, sio kwamba ndo ushikeshike kila kitu chake!
Not really. As a matter of fact, in many instances the words privacy and secrecy are interchangeable. Check the third entry of the word 'privacy' from the Merriam-Webster dictionary...."3 a : secrecy b : a private matter : secret" Source: Dictionary and Thesaurus - Merriam-Webster Online
 
he is ma hubby.....kwangu haina mwiko...hata password yenyewe kanichaguia yeye....sioni tabu manake simfichi kitu:humble:
 
Uhusiano wa ndoa au mapenzi haumaanishi mtu anakoma kuwa an individual.Sometimes you need your space siyo lazima kila kitu kiwe wazi kwa mwenzio hadi awe na password zako!

Labda tujiulize maana ya mtu kuwa na passoword ni nini. Password siyo tu kuficha mambo ya mapenzi kuna mambo mengine hayahusiani na mapenzi kabisa na hayatakiwi mwenzako kuyajua kwa usalama wako mwenyewe...msiniulize maswali kwenye hili maana kila mtu na maisha yake na akili yake.

Wapenzi ndio usiseme! Mpenzi ni mtu temporary kwanini ujiweke kwenye jeopardy? Ndio maana hata sheria inatambua kuwa mke/mume anaweza kumuibia mwenziwe! Tuangalie jambo hili kwa mapana yake.
 
Swali tuu unataka password yake ili iweje? kama hamuaminiani then there is no need to live together!!! haujui kama kusoma barua za wenzako ni kitu kibaya.... mie ndio nilifundisha hivyo...
 
Uhusiano wa ndoa au mapenzi haumaanishi mtu anakoma kuwa an individual.Sometimes you need your space siyo lazima kila kitu kiwe wazi kwa mwenzio hadi awe na password zako!

Labda tujiulize maana ya mtu kuwa na passoword ni nini. Password siyo tu kuficha mambo ya mapenzi kuna mambo mengine hayahusiani na mapenzi kabisa na hayatakiwi mwenzako

Wapenzi ndio usiseme! Mpenzi ni mtu temporary kwanini ujiweke kwenye jeopardy? Ndio maana hata sheria inatambua kuwa mke/mume anaweza kumuibia mwenziwe! Tuangalie jambo hili kwa mapana yake.
Well said I share the same thought!!! just to add huwezi kuishi na mtu kwa raha kama una doubts or trust issues... this is one of few things I cant tolerate..halafu mie naona hii ya kuoana na kuwa moja never work with me.... it is much easier and safer to be two instead of one...
 
mimi jamani sijui ndo kupenda kwa kutumia moyo zaidi........siri kwa mume wangu??? hapana. labda mnisaidie madhara yanayoweza kusababishwa na mimi kushirikiana 'passwoerd na waubani wangu......what are things that am keeping out of him??

Noname and my beloved Sisy WOS hebu saidia hapo.........
 
Back
Top Bottom