Kuna kitu kinaitwa 'personal space' inabidi kila mtu awe nayo kama uhuru na simu yake bila bugudha na mawasiliano binafsi kama e-mail na inabidi mwenzake aheshimu hivi.
utataka kujua hata kama mambo mengine sio your affairs? yani hayakuhusu... mfano wewe ungekuwa kaka yangu, ile issue yako na mchumba wako unataka ni iongelee na shemeji yako?... sasa yeye inamhusu nini? I will definitely feel offended akisema anything against you... kwa hiyo ni bora asijue...Siri gani hizo za familia ambazo utamficha mumeo au mkeo? Unaweza kutupa mfano/mifano?
Katika maisha ya ndoa, mwenza wako ndio anatakiwa kuwa mtu wa karibu sana na wewe kuliko mtu mwingine yeyote. Mwenza wako ndio mtu unayetakiwa kumjua na yeye kukujua kuliko wanavyokujua watu wengine wakiwemo wazazi.
Mimi mambo ya siri kwenye ndoa hapana kabisa. Kama ningekuwa na mke basi akitaka kunitibua awe ananificha vitu. I would be livid. Dishonesty and secrecy (in a relationship/ marriage) are one of my biggest pet peeves and I don't have much tolerance for neither one of them. That's just me.
Ila uzuri wa hili jambo ni kuwa hakuna kibaya wala kizuri. Hapa nina maana ya kwamba mtu unafanya au kuamua kulingana na unavyoona wewe kuwa ni sawa. Kwa hiyo kutokukubaliana kwangu na watu kama wewe kwenye jambo hili haimaanishi kwamba nyinyi mna makosa au mnakosea kuwa na mtazamo tofauti. Ndio uzuri wa dunia huo - diverse in every sense of the word diverse!!!
NN na wenzio ambao bado hamjaingia kwenye ndoa, mnazungumzia the ideal situation.... katika uhalisia ni tofauti.... ingieni kwanza kisha mtaelewa. Its not about being dishonest au nini.Na hata kutoa mifano siyo rahisi.
utataka kujua hata kama mambo mengine sio your affairs? yani hayakuhusu... mfano wewe ungekuwa kaka yangu, ile issue yako na mchumba wako unataka ni iongelee na shemeji yako?... sasa yeye inamhusu nini? I will definitely feel offended akisema anything against you... kwa hiyo ni bora asijue...
Huyo ni Mfano tuu NN usianze kujidai.. 😛ound:
Si hayo tu bht..... Kuna vitu vyengine vinatokea nje mathalan kuna mtu kazini au mtaani wala humjui uzuri kalutongoza tuseme basi kumuhadhithia mumeo utamuhadithia lkn mpaka umlie timing! Hehehe huwezi kukurupuka tu Kama unavyoongea na shoga yako
" shoga Yule babu ovyoooo ndo niñi kuja kunambia mie utumbo ule.... Na nilimstahi tu au ningemumbua!"
Wakuu,Mng,
Naleta hili kwenye meza kuu.................Hivi hawa wenzetu hawa akina mama hujifanya wanatupenda sana hivi kati yao kuna anayethubutu kumpa mpenzi wake Password ya E-mail yake???!!Nijuzeni:banplease::amen:
miss lady, trust me, i'm not just talking out of the side of my neck. Been there, done that, if you get my drift. I have what they call "lived experience". you live and learn and i have lived and learned from it. And there is no better teacher than "lived experience". So i know a thing or two about it......
WOS na Bht,
Wote nawaelewa ila kutoka kwenye angle tofauti. WOS anaongelea realities za maisha wakati Bht anongelea nadharia na wishes!
Binafsi sipendi mambo ya kuficha siri katika ndoa ila bado naamini nina mambo yangu ya kifamilia na pia na washikaji zangu ambayo sipendi wife ayajue. Kwa hiyo kuna baadhi ya vitu ambavyo ni ningependa kuvitunza kama siri. Na pia naamini wife ana vitu kama hivyo. Hata hivyo siungi mkono suala la usiri katika ndoa. Yaani simu isiguswe, paswords za email, bank n.k zinafichwa kama dudu ya mfalme n.k. Hayo siyapendi kabisa. Ila mimi nimempa passwards zangu zote na yeye kanipatia zake. Hata hivyo sifungui email zake kila siku na wala yeye hafungui zangu. Lakini kuna mazingira anaweza kuniomba nimsomee mails na nikafanya hivyo au nikiwa vijijini nikamtuma anisomee mails. Siwezi kujibu mail zake naye hawezi kujibu zangu. Ila kama kuna maelekezo anaweza hata mimi naweza kufanya hivyo. Hilo ni kwa upande wangu. Hata hivyo kila uhusiano naamni ni sovereign state na unaweza kuwa na rules zake. Cha msingi ni kukubaliana (badala ya kuburuzana) na kuheshimiana.
Hapa mnazungumzia kupeana pasiwedi?
Nyie peaneni mapasiwedi, peaneni masimu yenu peaneni sijui manini lakini kwangu mimi NI MARUFUKU mai waifu kujua pasiwedi ya chochote kile nachokimiliki kihalali!:closed_2:
mimi jamani sijui ndo kupenda kwa kutumia moyo zaidi........siri kwa mume wangu??? hapana. labda mnisaidie madhara yanayoweza kusababishwa na mimi kushirikiana 'passwoerd na waubani wangu......what are things that am keeping out of him??
Noname and my beloved Sisy WOS hebu saidia hapo.........
Mwisho nyote nawashukuru kwa mchango wenu ila mimi kwatazamo wangu nibora kuwa wazi kwakila kitu kwa mwenziwako mkionyesha uwazi wewe mhusika utakuwa na uvivu wakwenda kufunua kwenye email kwanza huwezi kupata nguvu zakwenda kuhangahikia kwamwenzio!!!Pili ina saidia pale unapopatwa tatizo linahitaji kuwa sorved linahitaji Password!!
(i)Mfano pesa katika account,
(ii)Docoment katika safe
(iii)Habari muhimu katika email!!
Namtoaji wa email Sorry katika kipengele hiki namaanisha Password siyo EMAIL. huna kauli thabiti yakuweza kusema neno lolote!!Je huoni kama ningejua ingesaidia?Maana hapa nimetoa mifano kidogo tu ila ukweli nimeona wanaokataa ni wale wenye wenye walakini kwani sababu za msingi walizotoa hazijitoshelezi kumnyima mwenzio password.
Ila Nyani Ngabu katoa maelezo niyamsingi kwa majumuisho.