EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,100
Nilikuwa nawaza hapa, ni password na namba ngapi nimezikariri mpaka nikajiogopa! Hizi hapa ni password;
Bank; CRDB, NBC,NMB
M-Pesa, Airtel Money
Password ya laptop, gmail, hotmail, yahoo, facebook, twitter, Jamii Forums
Na nyingine nimesahau....
Hizi ni namba ambazo nazo natakiwa kuzikariri pia;
Namba za simu; Airtel, Vodacom .........bado za modem, Airtel na Vodacom.
Namba za account za Benki; CRDB, NBC na TPB
Bado kuna namba nyingine kama za account ya DSTV na nyingine kibaooo!
Bado kuna zile namba za simu ambazo lazima uzikariri la sivyo una hatari........
Kha kichwa cha binadamu ni noma
Bank; CRDB, NBC,NMB
M-Pesa, Airtel Money
Password ya laptop, gmail, hotmail, yahoo, facebook, twitter, Jamii Forums
Na nyingine nimesahau....
Hizi ni namba ambazo nazo natakiwa kuzikariri pia;
Namba za simu; Airtel, Vodacom .........bado za modem, Airtel na Vodacom.
Namba za account za Benki; CRDB, NBC na TPB
Bado kuna namba nyingine kama za account ya DSTV na nyingine kibaooo!
Bado kuna zile namba za simu ambazo lazima uzikariri la sivyo una hatari........
Kha kichwa cha binadamu ni noma