'Pastor' took girl, 10, to bed

Tafadhali bofya hapa ili kupata majibu ya swali lako.
Fii'Aman'Allah

Jamaa amekuuliza Mwamedi alioa kindergaten na kukigandamiza kikiwa na miaka 8 na ushee..? Chagua jibu sahihi:

1.YES
2. NO

Kuchagua 1 or 2 is so difficult? au majibu yote mawili ni magumu? Ugali moto mboga moto?

Bua ha ha ha..
 

ingekuwa bomba sana kama hilo jibu ungeweka hapa kutudhibitishia kuwa hakuoa mtoto, ili Mtindio na wenzake waone kweli hii.
 
X-Paster heshima mbele.
Napenda kukushukuru kwa darasa zuri ulilonipa lakini lazima nikiri nimefadhaishwa sana na utetezi uliotolewa labda kama utakuwa na muda nipatie link zingine.
 
X-Paster heshima mbele.
Napenda kukushukuru kwa darasa zuri ulilonipa lakini lazima nikiri nimefadhaishwa sana na utetezi uliotolewa labda kama utakuwa na muda nipatie link zingine.

Dah muzee unakaba..!

Endelea tu kusubiri link nyingine muzee, labda sababu zilizotolewa zitakuingia akilini..

Tuendelee kuishi kwa matumaini..
 
Hawa wachunganji design ya Maumba tuwafanyeje jamani. Mimi naona walete vifungu vya sheria vya kuhasi minjemba au kufanya hiyo kitu ilale moja kwa moja,, usingizi fofofo hakuna kuamka. Tumechoshwa sana na ukatili wa wanaume wengine. Yaani wanachafua hata wale wanaume wenye sifa nzuri. Ni aibu.
 

Hahahaa ahahan a ahha XP, lol.

Wenye macho soma hii link hapa chini

Mohammad The Pedophile


Mkuu sijaamini macho yangu niliposoma habari katika hiyo link. Kweli inatisha.Ni aina ya utumwa fulani. Hao ndiyo viongozi wa dini/madhehebu ambao hawastaili kusimama katika mimbari zao. Imeniuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…