Pasu kwa Pasu: Shilingi bilioni 318 za Pep Guardiola kugawanywa baada ya mke kudai talaka, Mke ataja sababu ni Pep kuwa busy sana

Trump ataweka pingamizi😆 ameshasema kwamba ni aheri mke akopeshwe hata $1M kwa riba nafuu ila sio kuchukua mzigo pasu kwa pasu😄😄😄
Sasa huyu ndio prezdent. Maamuzi magumu tuu kwa kwenda mbele.
Alafu nimependa hamna takataka kuingia marekani. Wacha wakae kwenye nchi zao walizoharibu. Ikiwezekana awapige pini kabisa hawa watawala wa africa kumiliki mali huko marekani
 
Sasa huyu ndio prezdent. Maamuzi magumu tuu kwa kwenda mbele.
Alafu nimependa hamna takataka kuingia marekani. Wacha wakae kwenye nchi zao walizoharibu. Ikiwezekana awapige pini kabisa hawa watawala wa africa kumiliki mali huko marekani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ataifishe tu
 
Narudia tena, wanawake ni kwenda nao taliban style, they only fit for the kitchen and spreading legs
Nimeona jana, Boniface striker wa leverkusen kamuacha demu wake sababu demu anataka ndoa ila hataki a prenuptial agreement, jamaa kashituka kaona huyu MAKU anataka kuja kunipiga na kitu kizito
 
Nimeona jana, Boniface striker wa leverkusen kamuacha demu wake sababu demu anataka ndoa ila hataki a prenuptial agreement, jamaa kashituka kaona huyu MAKU anataka kuja kunipiga na kitu kizito
Safi nakwambia hawa wanataka kutuua kenge kabisa.
Tutazalisha single maza mpaka akili iwakae sawa
 
Sheria zingine walozitunga walikuwa wamelewa chakaliiii!!!! Yaani mwanamke analala ameshiba viazi akiamke atake talaka then unasema wagawane mali? Kwanini sheria wasingeiweka kwamba ikitokea Mume anataka kumwacha mke ndo wagawane mali ili mwanamke hasiende kutaabika? Lakini yeye ndo anataka kuchimba then tugawane kweli???
 
Kama kuna kitu wanaume wanakosea ni kuwasikiliza wanawake.
 
Huyo mwanamke anaitaka hiyo pesa ya ubize. Maajabua haya
 
Ndoa ni nadharia ambayo imeshapitwa na wakati. Watu wameziona loopholes na wanazitumia kama fursa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…