Pata hapa mkopo mpaka 50% kwa elimu ya juu

Pata hapa mkopo mpaka 50% kwa elimu ya juu

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Ndugu,

Ninayofuraha kukutangazia kua kampala international university tawi la dar es salaam watatoa mkopo mpaka asilimia 50 kwa coz za miaka mitatu na 40% kwa coz za miaka minne mpaka tano kwa wanafunzi 1800! Namna yakunufaika na mpango huu nikuchagua chuo cha kiu kupitia TCU na ukichaguliwa apo basi utakua mmoja wawatakao nufaika.

Just imagine 50% bado hujaeka ela za bodi ya mkopo!

Nb; hii ni kwa watanzania tu maelezo zaidi tembelea www.kiu.ac.tz
 
ni kwa coz zote haijalishi arts, science au biashara!
 
lini waganda wakawa na uchungu na sisi? chenga la macho tu
 
last year kuna dogo div3 point 14 CBG alichaguliwa hapo bpharm,alipewa mkopo ila tatzo ada ilokuwa inabak ni kama em5 hiv so dogo hakwenda,akaamua kurist mitihani yote dogo kiroho safi kapga dv2 ya 9(flat B)..so kaaply tena upya but he never included kiu-dar.,labda wameamua kufanya hivyo ili kuvuta watu navyosikia %kubwa ya walochaguliwa hapo mwaka jana hawakwenda
 
last year kuna dogo div3 point 14 CBG alichaguliwa hapo bpharm,alipewa mkopo ila tatzo ada ilokuwa inabak ni kama em5 hiv so dogo hakwenda,akaamua kurist mitihani yote dogo kiroho safi kapga dv2 ya 9(flat B)..so kaaply tena upya but he never included kiu-dar.,labda wameamua kufanya hivyo ili kuvuta watu navyosikia %kubwa ya walochaguliwa hapo mwaka jana hawakwenda

yap apo unajiangalia mfukoni uko vipi ila kwa arts nivizuri ukachagua pale kama unataka ela ya kujikimu! N kuhusu ushindani pale uko 100% ryt mpaka jana kitivo cha sheria wameaply watu kama 9 ivi akati wanahitaji wa2 kama 300!
 
mh uganda wameguswa na hali yetu

wako kibiashara zaidi maana kila cent yao utakayoila utairudisha! Ila ni mwanzo mzuri vyuo vya bongo wangejitahidi wafanye ivi maisha yangekua rahisi sana!
 
hivi hapo wana course ya CLINICAL MEDICINE and COMMUNITY HEALTH ngazi Bachelor?mwenye kujua tafadhali
 
Back
Top Bottom