Pata Internet Karibu na Bure, kupitia Mobile Phone Yako!.

Pata Internet Karibu na Bure, kupitia Mobile Phone Yako!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Kizuri kula na wenzio!

Naomba pia kuchukua fursa hii, kuwapa kizuri hiki nilichokutana nacho.

Ni kujipatia internet ya karibu na bure, kwa kupitia simu yako ya mkononi.

Kwa kutumia simu za N.Series, kama wewe unatmia mtandao wa Zain, ondoa sim card yako ya Zain, nunua sim card ya Voda, itakudirect namna ya automatic set up ya internet na email zako utazipata instant kama kwenye blackbery, ikishajiset, chomoa hiyo sim card ya Voda, rudisha sim card yako ya Zain, utaona e-mails huzipati tena direct, nenda kwenye internet, ukiconnect, itakuuliza, connect through vodacom?, maana ndio iko confugured, wewe click yes, itaku connect straight kwenye 3G ya voda kutumia sim card yako ya Zain, stay as much as you need, then check balance, utakuwa surprised kukuta ni negligible!.

Enjoy freedom of information at most afordable rates!.

Angalizo:sijajaribu kwa kutumia simu nyingine, au kuitest mitandao mingine,pia imework for me, sijajaribu kwa wengine. Wataalumu wa teknolojia ya mitandao wataweza kutufafanulia zaidi, but its almost free ride!.

NB. Msiwaulize wenyewe, wasije wakablock uhuru huu, kama enzi zile za simu za vibandani za TTCL, unapiga wrong number, ukishajibiwa na answering machine, try another number, unatwanga trancall kwa local rates!, mijitu ikaanza kujazana, foleni ndefu mpaka wenyewe wakashituka, wakavifungilia mbali vibanda vyao!.
 
Hapa ndipo penye shaka yangu...maana watanzania kwa bure ww...!
Janius, kwenye hili la access to information, issue sio kupenda dezo, ni issue za affordability, huwezi amini, wakati nikireport uchaguzi mdogo wa Busanda na Biharamulo kupitia simu yangu kwa mtandao wa Voda, bili ilikuja zaidi ya 500,000 per month! (natumia post paid).
Sasa kama unaweza kusave kwenye hili, kuna ubaya gani?.

Afterall nadhani pia hii ni njia muafaka ya kugawana nao haka ka faida kidogo, nasi tufaidi maana wengine hatuna utamaduni wa kucheza bahati nasibu zao ytukajishindia yale mazawadi yao ya mpaka magari, hivyo acha tuu tujifariji na hutu tujizawadi twa furii internet!
 
Hamna kitu mkuu natumia n958gb, baada ya kueka line hakuna chochote kilichoendelea.
 
Pasco, Asante sana mkuu... Mimi nimejaribu kwenye Nokia E71 imekubali, Ina speed nzuri ile mbaya..... Hofu yangu ni kwamba wakishtukia tu wanaiblock. Pia ngoja ni jaribu kui-connect na Nokia pc suite nione kama naweza kupata connection kwenye laptop yangu.
 
Hamna kitu mkuu natumia n958gb, baada ya kueka line hakuna chochote kilichoendelea.

Nadhani Simu yako itakuwa tayari na configuration setting za Voda ndio maana hawajakutumia tena, pia Saa nyingine voda ukiomba configuration setting wanakuambia tayari ulikwisha tumiwa hivyo hawawezi kukutumia tena, pole sana kwa hilo mkuu.
 
Hamna kitu mkuu natumia n958gb, baada ya kueka line hakuna chochote kilichoendelea.
BinMgeni, nenda step by step kama ifuatavyo.
1.Chukua simu yako ya N-Series, ambayo tayari inakuja na Nokia Ovu Suite, pamoja na maprogram yote ya Opera Mobile, Dolphin HD, xScope Lite, Skyfire, Infinity na mazaga zaga kibao.
2. Weka sim card ya voda, nenda kwenye set up, itakupa automatic configuration ya internet, utaset your e-mail, face book, twiter, skype etc. set ikishakubali, utaona page ya e-mail zako, page ya facebook yako, etc, kama kwenye blackberry. Ina maana simu yako inakuwa iko cofigured moja kwa moja kwenye internet kila ukiwasha, nokia wanakuambia huduma hiyo ni bure, huku voda watakuchaji kama kawa.
3. Ondoa simcard yako ya voda, weka simcard yako ya zain, washa simu. Cha kwanzautaona zile active windows za e-mail, face book hazipo, kwa vile sasa ile connection ya voda haipo. Check balance yako ya voda note down.
4. Nenda kwenye browser ya internet, ukiclick tuu itakuuliza connect through vodacom internet? just double click hiyo link, itakuconect moja kwa moja namtandao wa voda kupitia sim card yako ya zain, hapo surf kwa raha zako, nenda kwenye ma website na ma web site, shinda JF kwa masaa. ukijiona umetosheka, cheki tena balance yako, angalia umetumia kiasi gani.
5. Enjoy!.
 
Pasco, Asante sana mkuu... Mimi nimejaribu kwenye Nokia E71 imekubali, Ina speed nzuri ile mbaya..... Hofu yangu ni kwamba wakishtukia tu wanaiblock. Pia ngoja ni jaribu kui-connect na Nokia pc suite nione kama naweza kupata connection kwenye laptop yangu.

Mganyizi, mimi sijajaribu kwa laptop, ila pia nina pre paid ya vodacom blackbery, internet ni bure 24/7, ila ukiconect kupitia laptop, bili ni kama kawa, ile bure inapotea, sijua wanafanya uchawi gani, ukiconnect kupitia blackberry enterprise ya simu ni bure, nimeinstall blackbery interprise kwenye laptop, ukichomeka tuu blackbery inaiona, na ukiconnect ni amaizing speed, kuliko hizi 3G za voda, tatizo ni mwisho wa mwezi, bili kubwa!.
 
BinMgeni, nenda step by step kama ifuatavyo.
1.Chukua simu yako ya N-Series, ambayo tayari inakuja na Nokia Ovu Suite, pamoja na maprogram yote ya Opera Mobile, Dolphin HD, xScope Lite, Skyfire, Infinity na mazaga zaga kibao.
2. Weka sim card ya voda, nenda kwenye set up, itakupa automatic configuration ya internet, utaset your e-mail, face book, twiter, skype etc. set ikishakubali, utaona page ya e-mail zako, page ya facebook yako, etc, kama kwenye blackberry. Ina maana simu yako inakuwa iko cofigured moja kwa moja kwenye internet kila ukiwasha, nokia wanakuambia huduma hiyo ni bure, huku voda watakuchaji kama kawa.
3. Ondoa simcard yako ya voda, weka simcard yako ya zain, washa simu. Cha kwanzautaona zile active windows za e-mail, face book hazipo, kwa vile sasa ile connection ya voda haipo. Check balance yako ya voda note down.
4. Nenda kwenye browser ya internet, ukiclick tuu itakuuliza connect through vodacom internet? just double click hiyo link, itakuconect moja kwa moja namtandao wa voda kupitia sim card yako ya zain, hapo surf kwa raha zako, nenda kwenye ma website na ma web site, shinda JF kwa masaa. ukijiona umetosheka, cheki tena balance yako, angalia umetumia kiasi gani.
5. Enjoy!.

Pasco, kwanza nikushukuru kwa moyo wako mwema wa kushirikisha wanajamii katika 'vinono' ukumbanavyo. Ni jambo jema na la kupongezwa. Hongera!

Pili, hapo juu naomba kusahihisha... Kwenye Ovu Suite ya Nokia (sawa sawa na App store ya Apple, au Android Market ya Google for Android phones), browsers zilizopo na zinazojulikana ni Opera Mobile au Opera Mini, Skyfire na UC Browser. Hizi tatu zote ni bure. Kuna Y-Browser ambayo ni ya kulipia, pia kuna moja au mbili nyingine kwa ajili ya very specialized tasks. Hizi zote ni kwa ajili ya Nokia zinazotumia operating system ya Symbian 60 (commonly known as s60). Kumbuka Nokia wana Symbian 3 sasa hivi, ni mpya (kama sijakosea iko kwenye simu mpya ya E6). Pia Nokia wana Maemo ambayo wameitumia kwenye N900 (simu ya majaribio hii but with a very good potential on touch screen handsets). Hizi browser kwa vile ziko kwenye Ovu Suite, yawezekana kabisa zikafanya kazi kwenye nokia zinazotumia Maemo au Symbian 3 oses but not a guarantee.

Basi hapo juu baadhi ya chache ulizozitaja, napenda kusema ni kwa ajili ya simu zinazotumia Android operating system na si Nokia. To be specific, Dolphin, Infinity and xScope. Of course these may appear on Ovu Suite in the future as developers tend to customize and port their apps to various platforms with time.
Regards.
 
Mganyizi, mimi sijajaribu kwa laptop, ila pia nina pre paid ya vodacom blackbery, internet ni bure 24/7, ila ukiconect kupitia laptop, bili ni kama kawa, ile bure inapotea, sijua wanafanya uchawi gani, ukiconnect kupitia blackberry enterprise ya simu ni bure, nimeinstall blackbery interprise kwenye laptop, ukichomeka tuu blackbery inaiona, na ukiconnect ni amaizing speed, kuliko hizi 3G za voda, tatizo ni mwisho wa mwezi, bili kubwa!.

Wakuu, inabidi mchunge sana... richa ya Voda kuweza ku- disable hiyo feature, yawezekana kabisa kujikuta jamaa wa Zain nao wanacharge "data roaming" fee kwa kutumia network yao ku-access vodacom data services. Hebu jaribuni kucheck kama bill za Zain zinabakia hivyo hivyo... (just a precaution).
 
Asanteni kwa ubunifu. Sasa fanyeni ubunifu zaidi kuwawezesha Watanzania kupiga simu bure!
 
Pasco huu ni ufisadi. Hamtendei haki makampuni ya simu, unapowafundisha watu njia za wizi wazi wazi hivi. Au ni njia ya kuwaonyesha teknohama ya kitanzania?
 
Pasco huu ni ufisadi. Hamtendei haki makampuni ya simu, unapowafundisha watu njia za wizi wazi wazi hivi. Au ni njia ya kuwaonyesha teknohama ya kitanzania?


Mkuu kwa nini na sisi tusifaidike wakati na wenyewe wanaikandamiza nchi??Sio RAIS sio hao watu, kwa hiyo kila mtu anakula kwa mda wake......
 
Pasco huu ni ufisadi. Hamtendei haki makampuni ya simu, unapowafundisha watu njia za wizi wazi wazi hivi. Au ni njia ya kuwaonyesha teknohama ya kitanzania?

mkuu wewe upo southernchina huko net ya karibu na bure wacha wanyonge tufaidi na sisi huku..
 
Pasco huu ni ufisadi. Hamtendei haki makampuni ya simu, unapowafundisha watu njia za wizi wazi wazi hivi. Au ni njia ya kuwaonyesha teknohama ya kitanzania?
Ndio yale yale ya file sharing na illegal downloads JF..hii inaweza kuiweka JF matatani.
 
Back
Top Bottom