Brightburn
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 348
- 688
Habari zenu waheshimiwa! Tunatoa huduma mbali mbali za kidigitali ikiwemo kadi za mialiko kama vile za harusi, send off, michango, graduation, business cards, nk.
Achana na yale mambo ya kupanda dalala, usafiri wako, au kutuma boda boda kupeleka kadi umbali mrefu, tumia kadi za kidigitali kuokoa ghrama na muda pia.
Faida za kadi zetu za kidigitali ni kama ifuatavyo;
Tunapatikana kwa WhatsApp, SMS, Call;
0769493334, D-Tecs Group. DSM
Achana na yale mambo ya kupanda dalala, usafiri wako, au kutuma boda boda kupeleka kadi umbali mrefu, tumia kadi za kidigitali kuokoa ghrama na muda pia.
Faida za kadi zetu za kidigitali ni kama ifuatavyo;
- Utaokoa muda na gharama ya kusambaza kadi kwa waalikwa.
- Kadi zitatumwa kwa WhatsApp na SMS za kawaida kwa jina la shughuli yako, mfano: HARUSI
- Hazihitaji internet ku-scan QR Code, hata kama huna internet utahakiki kadi za waalikwa vizuri.
- Tunakupa offline data sheet yenye ID Card na majina ya waalikwa, yaani hata ukiwa na kitochi (simu ya button) hizi kadi zinakufaa pia!
- Gharama ni nafuu (Tsh 800 - Tsh 1500) kulingana na idadi ya kadi.
- Ukishalipa gharama za kadi; Tunatuma kadi kwa WhatsApp na SMS yenye jina la HARUSI/SEND OFF/MICHANGO/MWALIKO/nk kwa waalikwa wote, na pia baada ya sherehe yako tunatuma SMS za asante kwa wote walioshiriki (hakuna gharama za ziada).
Tunapatikana kwa WhatsApp, SMS, Call;
0769493334, D-Tecs Group. DSM