Pata kitabu chochote cha kingereza kilichotafsiriwa kwa kiswahili

Pata kitabu chochote cha kingereza kilichotafsiriwa kwa kiswahili

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,641
Reaction score
4,457
Najua watanzania wengi mnapenda sana kusoma vitabu . Shida iliyopo kubwa watanzania wengi lugha ya kingereza inatupa shida.

Sasa hiyo shida imekwisha kama utafanikiwa kuona huu uzi leo kwasababu ata ukiwa unajua lugha ya kiswahili tu utasoma kitabu chochote unachotaka kwa lugha ya kiswahili na kwa garama ndogo tu.

IMG_20201111_172822_416_1605106007652_1605106675720.jpg
winnie_library255_20201015_131424_0.jpg
winnie_library255_20200911_125402_0.jpg
timizamalengo_bookshop_20200817_180129_0.jpg
timizamalengo_bookshop_20200817_175957_0.jpg
timizamalengo_bookshop_20200817_180257_0.jpg
timizamalengo_bookshop_20200817_175933_0.jpg
elitebookstore_20200817_175536_0.jpg
elitebookstore_20200817_175451_0.jpg
booktrendtz255_20200814_134715_0.jpg
 
Mkuu ni kwa hardcopy au kwa soft copy ni bei gani mkuu
 
Bei ni kubwa sana. Soft copy fanya 5000 hard copy 10000.
 
Mnaotafsiri hivyo vitabu mko vizuri au wale jamaa zangu wanaosema"nyimbo yangu" "hichi kitabu" matumizi ya R na L ni shida.
Tuwekee sample ya kitabu ulichotafsiri tuone umahiri wenu.
Ila niwapongeze kwa kuibuka na wazo hilo.
 
Back
Top Bottom