Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Najua watanzania wengi mnapenda sana kusoma vitabu . Shida iliyopo kubwa watanzania wengi lugha ya kingereza inatupa shida.
Sasa hiyo shida imekwisha kama utafanikiwa kuona huu uzi leo kwasababu ata ukiwa unajua lugha ya kiswahili tu utasoma kitabu chochote unachotaka kwa lugha ya kiswahili na kwa garama ndogo tu.
Sasa hiyo shida imekwisha kama utafanikiwa kuona huu uzi leo kwasababu ata ukiwa unajua lugha ya kiswahili tu utasoma kitabu chochote unachotaka kwa lugha ya kiswahili na kwa garama ndogo tu.