Pata matatizo ujue marafiki wa kweli

Pata matatizo ujue marafiki wa kweli

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Wiki mbili zilizopita nimepata msiba wa kuondokewa na mzazi wangu wa kiume yaani Baba.

Kupitia issue hii nimejifunza mambo Mengi sana.

: Rafiki wa kweli siye unayeishi naye sasa.
: Sio kila unayemtehemea atakusaidia ( wengi wanajali issue za kuuingiza pesa sio utu)
: Uliye mdharau anaweza kuwa msaada mkubwa kuliko uliokuwa unawategeme.
: True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
: Kwenye msiba ndugu ni mzigo kuliko msaada. Wengi wanakuja kula, kuomba msaada sio msiba
: Msaada mkubwa kwa usiye mdhania au kumfikiria.
: Baaddhi ya mjirani kujifungia ndani kana kwamba hawaji kufiwa
: Wengi tuliowategemea ni marafiki wa baba ni wachonganishi wakubwa na wanafiki nia mgombane wafaidi.

Mambo ni Mengi sana ikiwepo ndugu kuomba kizinga cha hela ya bia wakati majonzi yametawala😂😂😂.

Amini Dunia ina Mengi, kuwa uyaone.
 
Wiki mbili zilizopita nimepata msiba wa kuondokewa na mzazi wangu wa kiume yaani Baba.
Kupitia issue hii nimejifunza mambo Mengi sana.

: Rafiki wa kweli siye unayeishi naye sasa.
: Sio kila unayemtehemea atakusaidia ( wengi wanajali issue za kuuingiza pesa sio utu)
: Uliye mdharau anaweza kuwa msaada mkubwa kuliko uliokuwa unawategeme.
: True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
: Kwenye msiba ndugu ni mzigo kuliko msaada. Wengi wanakuja kula, kuomba msaada sio msiba
: Wengi tuliowategemea ni marafiki wa baba ni wachonganishi wakubwa na wanafiki nia mgombane wafaidi.

Mambo ni Mengi sana ikiwepo ndugu kuomba kizinga cha hela ya bia wakati majonzi yametawala😂😂😂.

Amini Dunia ina Mengi, kuwa uyaone.
Tatizo unahishi kwa hisia sana..
Ishi simple tu..
It's okey..!
 
Hakuna rafiki wa kweli ndugu zangu,rafiki ulienae sasa hivi yupo kwa ajiri ya kitu flani maishani mwako,siku kitu hicho kikitoka may be ukawa maskini,ukapata matatizo ndo utajua maana ya "rafiki yako ndiye adui yako" napenda niwaletee kisa changu ila kwa leo niishie hapa.
 
Back
Top Bottom