point pia ajasema kampuni ofisi zipo wapi,,Mkuu...
Tangazo la kampun mbona unalifanya jepesi kama mtu alie ichoka Tecno yake anataka iuza?
Jaribu kufunguka ueleweke... so hapa wataka mtu aje anze kukuuliza. Grade 1 mwauzaje, 2 mwauzaje
Mwingne aulize... Je mna magari yenu ya kusafirishia au aje na lake,
mwingne aulize, kiwango chenu cha mwisho kupokea order.. kidogo zaid n kipi, na uwezo wenu wa ku supply n upi.. mwingine aulize hik mwingne kile..
Jaribu kuweka tangazo litakalo mvutia mtu, ukiliweka kipuuz, watakupuuzia pia
Thanks,Mkuu...
Tangazo la kampun mbona unalifanya jepesi kama mtu alie ichoka Tecno yake anataka iuza?
Jaribu kufunguka ueleweke... so hapa wataka mtu aje anze kukuuliza. Grade 1 mwauzaje, 2 mwauzaje
Mwingne aulize... Je mna magari yenu ya kusafirishia au aje na lake,
mwingne aulize, kiwango chenu cha mwisho kupokea order.. kidogo zaid n kipi, na uwezo wenu wa ku supply n upi.. mwingine aulize hik mwingne kile..
Jaribu kuweka tangazo litakalo mvutia mtu, ukiliweka kipuuz, watakupuuzia pia