Pata mchele

LH XiV

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2016
Posts
346
Reaction score
352
MLD GROUP
Tunahusika na usambambazaji na uuzaji wa mchele kutoka maeneo ya kamsamba na Mbeya.
Pia tunapokea order za ku supply katika maeneo mbalimbali e.g: mashuleni, vyuoni, katika sherehe na hafla mbalimbali.
Karibuni sana.

0657 496 629
Info@mldgroup.co.tz
 
Mkuu...

Tangazo la kampun mbona unalifanya jepesi kama mtu alie ichoka Tecno yake anataka iuza?


Jaribu kufunguka ueleweke... so hapa wataka mtu aje anze kukuuliza. Grade 1 mwauzaje, 2 mwauzaje


Mwingne aulize... Je mna magari yenu ya kusafirishia au aje na lake,

mwingne aulize, kiwango chenu cha mwisho kupokea order.. kidogo zaid n kipi, na uwezo wenu wa ku supply n upi.. mwingine aulize hik mwingne kile..

Jaribu kuweka tangazo litakalo mvutia mtu, ukiliweka kipuuz, watakupuuzia pia
 
point pia ajasema kampuni ofisi zipo wapi,,
 
Thanks,
Tunapokea order kwanzia gunia moja na kuendelea mchele tunao supply ni Grade 2 kutoka na soko pia kwa order tunasambaza pia Grade 1.
Ofisi zipo Manzese Godown.
Usafiri unapatika kwa yule tu anaechukua kwanzia kilo 500( gunia5) na kuendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…