Pata michoro ya wazo lako (mobile apps, websites, softwares, etc)

Pata michoro ya wazo lako (mobile apps, websites, softwares, etc)

Brightburn

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2020
Posts
348
Reaction score
688
Good day waheshimiwa! Mimi ni designer mzuri sana, naweza chora idea yako vizuri kabisa kwa maelezo machache tu kutoka kwako. Ila leo niko hapa kwa huduma ya UI design kwa wale watu wenye mawazo mazuri ya faida, kama unahitaji mtu wa kukuchorea idea yako uone itakavyokuwa ikiwa utaiunda nipo hapa! Nimefanya kazi nyingi sana za wateja wa ndani na nje ya TZ, kazi za mobile applications, static websites, na softwares.

Hatua zipo hivi;
  1. Unawasiliana nami then tunadiscuss wazo lako
  2. Unaweza nitumia document yenye maandishi au ukanieleza mi nikaandika (kuna gharama kidogo)
  3. Nakupa cost kulingana na uzito wa kazi au idadi ya pages/sections/categories ninazotakiwa kudesign
  4. BAADA YA MALIPO, au at least 60% naanza kufanya kazi yako, within 24 hours nitaanza kushare sample na wewe
  5. Nakutumia michoro kwa PDF, michoro ambayo kazi iliyobaki ni kumpatia developer au programmer yeye aisuke tu
  6. Pia ukitaka upate design zako kwa Figma ili utetst baadhi ya vitu kabisa inawezekana (ila cost yake sio mchezo)
Naweka sample ya app moja na website moja ila vyote ni vya nje (design chache tu). Design ya Telegram mini-app pamoja na website moja ya kuonyesha data za digital currencies. Nimefanya kazi za hapa TZ pia, ila sio wakati sahihi wa kushare kwasababu kwasasa hizo kazi zipo chini ya developers (nitashare zikikamilika) kwa TZ nashare app ya Mange Kimambi tu! Alitaka homepage design ya app site yake ila kwa size ya simu. Pia msiwe na wasi kuhusu kuibiwa mawazo yenu, haha! Ukitaka naweza zungumza na mwanasheria kabisa akakuandalia documents za kulinda wazo lako pamoja na muhuri wa kisheria kabisa, mwanasheria ninae. Utalipia Tsh 50,000 tu ila unaweza fanya hivyo kwa mwanasheria wako pia kama unae (najua utalipia sio chini ya Tsh 150,000).

Gharama za kuchora wazo lako huanzia Tsh 250,000 na inaweza fika hadi Tsh 2,000,000. Inategemea na mradi, mfano; Wewe unaweza niambia nikuchoree app ya mawakala wa mitandao ya simu waweze kumanage miamala yao hata wakiwa mbali na biashara zao, ili kila muamala unaofanyika wapokee taarifa na kuepusha wizi ofisini. Lakini anaweza kuja mwingine akaniambia nimchoree app ya kufanya miamala ya simu na yenye vitu kama kulipa bili, kuwekeza, kumbu kumbu za miamala + malipo, masuala ya bima, na mambo mengine kibao... ni dhahiri kuchora app hii ya pili haitokuwa kazi rahisi sababu ina vitu vingi na mimi kama mchoraji ni lazima nimuonyeshe developer kila kitu kinachotakiwa kuwa developed kwenye hiyo app na kitoke kama nilivyochora! Kwahiyo cost ni tofauti kutokana na wazo/kazi ilivyo.

Kwa anayehitaji anitafute, tafadhali msiogope! Mimi ni mtu poa sana, wasiliana nami tutafanya kazi vizuri na nina hakika hatutashindwana. Unaweza kuta wazo lako ni kubwa sana ila unalichukulia la kawaida kwasababu hujaona michoro yake na documents za kuelezea michor hiyo. Nafanya kazi ya mtu yeyote bila kujali eneo/mkoa/nchi aliyopo. Karibuni sana 🙂

Call/WhatsApp;
0692987122
 

Attachments

  • JF 2.png
    JF 2.png
    168.5 KB · Views: 2
  • JF.png
    JF.png
    111.9 KB · Views: 2
  • JF 5.png
    JF 5.png
    801.8 KB · Views: 2
  • JF 3.png
    JF 3.png
    2.1 MB · Views: 2
  • JF 4.png
    JF 4.png
    2 MB · Views: 2
Back
Top Bottom