Elections 2010 Pata Milio Bomba ya CHADEMA Kwenye Simu Yako

Elections 2010 Pata Milio Bomba ya CHADEMA Kwenye Simu Yako

Regia Mtema

R I P
Joined
Nov 21, 2009
Posts
2,970
Reaction score
866
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Chama Cha CHADEMA Kimeendelea kujiimarisha katika kila idara.Hivi Karibuni CHADEMA imezindua ring tones na caller tunes kwaajili ya kuhamasisha Watu mablimbali kuiunga mkono CHADEMA na pia kuendeleza harakati za Kina Dr Slaa kukemea uovu na vitendo vya kifisadi unaoendelea hapa nchini. Kwa wale watakaopenda kupata nyimbo hizo,njia ni rahisi sana.Fuata maelekezo yafuatayo;

Kwanza kabisa tumetoa nyimbo tau kwa kuanzia.

Nyimbo na 1.Yenye namba 12608 inaitwa CHADEMA Mwendo Mdundo.ni nyimbo nzuri sana
Nyimbo na 2.Yenya Namba 12609 inaitwa Operesheni Sangara-Hii Nyimbo ilizinduliwa wakati Operesheni Sangara inaanza na inaelezea dhana ya Operesheni Sangara,ni nyimbo nzuri pia.

Nyimbo na 3. Yenye namba 12610 inaitwa Tuimwage CCM.Nyimbo hii inaelezea jinsi gani CCM imeshindwa kutimiza hadi yake ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.Nyimbo hii pia ni nzuri vile vile.

Kwahiyo kama unataka moja ya nyimbo hizi au zote.Fanya yafuatayo;

1. Ingia kwenye sehemu ya kuandikia ujumbe mfupi kwenye simu yako
2. Andika namba ya wimbo unaoutaka
3.Tuma kwenda namba 15007 au 15050
4.Baada ya hapo utapokea majibu ya kukubaliwa ombi lako

Kumbuka Kila wimbo ni sh 300.

Wish You all the Best.
 
Sijawahi kuona an excellent contraption by a political party kama hii. Well done Chadema!
 
ccm wakikusikia una tune ya chadema inaweza kuathiri utendaji wako
 
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Chama Cha CHADEMA Kimeendelea kujiimarisha katika kila idara.Hivi Karibuni CHADEMA imezindua ring tones na caller tunes kwaajili ya kuhamasisha Watu mablimbali kuiunga mkono CHADEMA na pia kuendeleza harakati za Kina Dr Slaa kukemea uovu na vitendo vya kifisadi unaoendelea hapa nchini. Kwa wale watakaopenda kupata nyimbo hizo,njia ni rahisi sana.Fuata maelekezo yafuatayo;

Kwanza kabisa tumetoa nyimbo tau kwa kuanzia.

Nyimbo na 1.Yenye namba 12608 inaitwa CHADEMA Mwendo Mdundo.ni nyimbo nzuri sana
Nyimbo na 2.Yenya Namba 12609 inaitwa Operesheni Sangara-Hii Nyimbo ilizinduliwa wakati Operesheni Sangara inaanza na inaelezea dhana ya Operesheni Sangara,ni nyimbo nzuri pia.

Nyimbo na 3. Yenye namba 12610 inaitwa Tuimwage CCM.Nyimbo hii inaelezea jinsi gani CCM imeshindwa kutimiza hadi yake ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.Nyimbo hii pia ni nzuri vile vile.

Kwahiyo kama unataka moja ya nyimbo hizi au zote.Fanya yafuatayo;

1. Ingia kwenye sehemu ya kuandikia ujumbe mfupi kwenye simu yako
2. Andika namba ya wimbo unaoutaka
3.Tuma kwenda namba 15007 au 15050
4.Baada ya hapo utapokea majibu ya kukubaliwa ombi lako

Kumbuka Kila wimbo ni sh 300.

Wish You all the Best.
ujumbe wako ni mzuri ila zingatia na lugha fasaha ya kupeleka ujumbe. nyimbo ni wingi, na wimbo ni umoja. hivyo sema huu wimbo. au wimbo namba moja
 
ujumbe wako ni mzuri ila zingatia na lugha fasaha ya kupeleka ujumbe. nyimbo ni wingi, na wimbo ni umoja. hivyo sema huu wimbo. au wimbo namba moja
Ndio kiswahili cha kizazi cha Bongo Flava, wenyewe wanelewana na hawawezi kuelewa hicho kiswahili chako, hicho ni cha sisi tuliosoma Someni kwa furaha au Juma na Roza
 
Mbona meseji haziendi? GS hebu check kama mitambo ipo sawa au ndo mihemko ya networki?
 
It's not working. Nimejaribu mara mbili napata jibu "Number not in use". Rekebisha mambo!
 
Wakuu nilisahau kuwaambia kwa sasa ni kwa wateja wa tigo tu,mitandao mingine itakuwa tayari kuanzia jumanne..Siku zote CHADEMA tunaanzisha njia wengine wanafuata..
 
Wakuu nilisahau kuwaambia kwa sasa ni kwa wateja wa tigo tu,mitandao mingine itakuwa tayari kuanzia jumanne..Siku zote CHADEMA tunaanzisha njia wengine wanafuata..

ukitaka kununua wimbo tuma herufi 1,mfano b kwenda 15050.kwa orodha ya nyimbo tuma na no msaada kwenda 15050 na kujiondoa tuma neno ondoa... hicho ndo kibwagizo cha tigo mkuu na nimetuma msaada karibu saa ishapita.jaribu kutujengea mazingira mazuri tuzipate mkuu
 
Ombi.
Namba kwa ajili ya kuchangia CHADEMA kwa mtandao inahitajika.
Asante
 
ukitaka kununua wimbo tuma herufi 1,mfano b kwenda 15050.kwa orodha ya nyimbo tuma na no msaada kwenda 15050 na kujiondoa tuma neno ondoa... hicho ndo kibwagizo cha tigo mkuu na nimetuma msaada karibu saa ishapita.jaribu kutujengea mazingira mazuri tuzipate mkuu

Sijakuelewa Mkuu!
 
Mbona meseji haziendi? GS hebu check kama mitambo ipo sawa au ndo mihemko ya networki?

Unashangaa hilo, hebu angalia kwenye vile vibao vya kampuni za simu vilivyowekwa kwenye nguzo za umeme za barabarani sasa hivi zinasomekaje? Lazima SMS zisiende tu
 
Back
Top Bottom