Pata mitambo ya sola ya mysol iliyo imara kwa bei nafuu

Pata mitambo ya sola ya mysol iliyo imara kwa bei nafuu

sekion27

Member
Joined
Jul 25, 2021
Posts
56
Reaction score
37
Ni mitambo bora na yenye ueledi kwa hali ya juu na utapewa offer ya mwezi mzima ukichukua bidhaa yetu kwa mkopoView attachment 2687565View attachment 2687566
IMG_20230712_135359_458.jpg
 
Hiyo ni Kampuni ya Majambazi na MATAPELI wakubwa,nilifanya kazi kama Area Manager kwa miaka 6 ninawafahamu nje ndani,mnauza na kukopesha Sola mbovu tena kwa Bei kubwa,Wana JF msidanganyike na misola ya Mysol zamani walikuwa wanaitwa Mobisol,ni Kampuni ya Majambazi na MATAPELI wakubwa,iogopeni kama mnavyouogopa UKIMWI
 
Hiyo ni Kampuni ya Majambazi na MATAPELI wakubwa,nilifanya kazi kama Area Manager kwa miaka 6 ninawafahamu nje ndani,mnauza na kukopesha Sola mbovu tena kwa Bei kubwa,Wana JF msidanganyike na misola ya Mysol zamani walikuwa wanaitwa Mobisol,ni Kampuni ya Majambazi na MATAPELI wakubwa,iogopeni kama mnavyouogopa UKIMWI
Watasema una chuki, ila ni ukweli kidogo,kuna mtambo jamaa qlichukua ulikufa after miaka 2 ,ukiwasha saa saa moja usiku mpaka saa tatu charge imeisha wakati mchana kulikuwa na jua na hukutumia
 
Watasema una chuki, ila ni ukweli kidogo,kuna mtambo jamaa qlichukua ulikufa after miaka 2 ,ukiwasha saa saa moja usiku mpaka saa tatu charge imeisha wakati mchana kulikuwa na jua na hukutumia
Naifahamu sana hii Kampuni ni ya MAJAMBAZI,mimi mwenyewe nilinusurika zaidi ya mara 10 kuuawa na wateja vijijini baada ya kuwauzia Sola kumbe mbovu,ni Majambazi kwelikweli,kipindi naondoka ilikuwa inaongozwa na Jambazi moja la Kenya linaitwa Godfrey Mugambi,ni MAJIZI haya na bidhaa zao ni Bei sana, Wananchi ogopeni bidhaa zao mtanishukuru badae
 
Naifahamu sana hii Kampuni ni ya MAJAMBAZI,mimi mwenyewe nilinusurika zaidi ya mara 10 kuuawa na wateja vijijini baada ya kuwauzia Sola kumbe mbovu,ni Majambazi kwelikweli,kipindi naondoka ilikuwa inaongozwa na Jambazi moja la Kenya linaitwa Godfrey Mugambi,ni MAJIZI haya na bidhaa zao ni Bei sana, Wananchi ogopeni bidhaa zao mtanishukuru badae
Vipi mkuu hawa zola unauzoefu nao?
 
Bora kuingia tu dukani na kununua solar yako complete na kwenda kufunga nyumbani kwako, na hivyo kutumia bila ya bughudha!
 
Hiyo ni Kampuni ya Majambazi na MATAPELI wakubwa,nilifanya kazi kama Area Manager kwa miaka 6 ninawafahamu nje ndani,mnauza na kukopesha Sola mbovu tena kwa Bei kubwa,Wana JF msidanganyike na misola ya Mysol zamani walikuwa wanaitwa Mobisol,ni Kampuni ya Majambazi na MATAPELI wakubwa,iogopeni kama mnavyouogopa UKIMWI
Itakuwa walikuzurumu mkuu, mimi nina Tv ya mobisol 32" toka 2018 mpaka leo haina shida kabisa na niliichukua baada ya mtu kushindwa kuilipia inawezekana ikawa zaidi ya hapo
 
Itakuwa walikuzurumu mkuu, mimi nina Tv ya mobisol 32" toka 2018 mpaka leo haina shida kabisa na niliichukua baada ya mtu kushindwa kuilipia inawezekana ikawa zaidi ya hapo
dada yangu ana mtambo wa watts 50 toka 2017 mpaka leo anao na sijawahi ona akilalamika.
 
Nasemea uhalisia wa kufanya kazi na hiyo Kampuni,itakuwa ulibahatika tu,lakini ukweli ni kwamba Kampuni hiyo ina Kesi Mikoa yote ilipo na Ofisi kwa wateja kuifungulia Kesi,ndio maana watu wengine wameamua kuwa wezi tu kuiibia Kampuni,narudia tena kusema hiyo ni Kampuni ya Sola ya Majambazi na MATAPELI ndio maana kila mwaka inabadilisha majina,ni Kampuni ya WEZI nami nilikuwa sehemu wa Wezi hao kuwaibia Wananchi masikini vijijini
 
Nasemea uhalisia wa kufanya kazi na hiyo Kampuni,itakuwa ulibahatika tu,lakini ukweli ni kwamba Kampuni hiyo ina Kesi Mikoa yote ilipo na Ofisi kwa wateja kuifungulia Kesi,ndio maana watu wengine wameamua kuwa wezi tu kuiibia Kampuni,narudia tena kusema hiyo ni Kampuni ya Sola ya Majambazi na MATAPELI ndio maana kila mwaka inabadilisha majina,ni Kampuni ya WEZI nami nilikuwa sehemu wa Wezi hao kuwaibia Wananchi masikini vijijini
Mimi nilifanya kazi kwenye hii kampuni, kipindi ikiitwa mobisol. Ni kampuni Bora sana ya Solar. Nadhani wewe ulikoseshwa kazi kwenye lile sakata la kupunguza watumishi unproductive
 
wakubwa,nilifanya kazi kama Area Manager kwa miaka 6
Hapa umedanganya mkuu. Katika kampuni hiyo, Cheo cha Area Manager kilianza kutumika mwaka 2020, kabla ya hapo kulikuwa na cheo cha Sales Agent Coordinator (SAC) Sasa wewe miaka 6 uliitoa wapi? Unless ulianza na cheo cha SAC mwaka 2017
 
Naifahamu sana hii Kampuni ni ya MAJAMBAZI,mimi mwenyewe nilinusurika zaidi ya mara 10 kuuawa na wateja vijijini baada ya kuwauzia Sola kumbe mbovu,ni Majambazi kwelikweli,kipindi naondoka ilikuwa inaongozwa na Jambazi moja la Kenya linaitwa Godfrey Mugambi,ni MAJIZI haya na bidhaa zao ni Bei sana, Wananchi ogopeni bidhaa zao mtanishukuru badae
Labda wewe ndiye ulikuwa jambazi wakakufukuza. Nilifanya nao kazi kwa miaka 2 pale makao makuu Arusha (Nane Nane, njiro) nikawaaga kwa amani kabisa nikaenda kusoma. Maslahi yalikuwa yanaridhisha Sana. Tena walitaka kunipa gari la kazi mimi nikakataa, Nilikuwa sijui kuendesha by then
 
Labda wewe ndiye ulikuwa jambazi wakakufukuza. Nilifanya nao kazi kwa miaka 2 pale makao makuu Arusha (Nane Nane, njiro) nikawaaga kwa amani kabisa nikaenda kusoma. Maslahi yalikuwa yanaridhisha Sana. Tena walitaka kunipa gari la kazi mimi nikakataa, Nilikuwa sijui kuendesha by then
Kijana,nilikuwepo enzi za kina Mbonny na Evaline,akaja Mugambi,Veronika Kahama na wajingawajinga wengine,narudia tena kusema kwamba MySol au zamani Mobisol/Engie ni Kampuni ya MAJAMBAZI NA WEZI ndio maana ina makesi Nchi nzima, Wafanyakazi wenyewe wezi na mimi nilikuwa mmoja wao
 
Labda wewe ndiye ulikuwa jambazi wakakufukuza. Nilifanya nao kazi kwa miaka 2 pale makao makuu Arusha (Nane Nane, njiro) nikawaaga kwa amani kabisa nikaenda kusoma. Maslahi yalikuwa yanaridhisha Sana. Tena walitaka kunipa gari la kazi mimi nikakataa, Nilikuwa sijui kuendesha by then
Wakupe gari ya kazi kwa Cheo gani ulichokuwa nacho acha UONGO jinga wewe[emoji1787][emoji1787]
 
Naifahamu sana hii Kampuni ni ya MAJAMBAZI,mimi mwenyewe nilinusurika zaidi ya mara 10 kuuawa na wateja vijijini baada ya kuwauzia Sola kumbe mbovu,ni Majambazi kwelikweli,kipindi naondoka ilikuwa inaongozwa na Jambazi moja la Kenya linaitwa Godfrey Mugambi,ni MAJIZI haya na bidhaa zao ni Bei sana, Wananchi ogopeni bidhaa zao mtanishukuru badae
shukrani kwa anaglizo.Mkuu nahitaji solar ya mkopo,ushauri please
 
Back
Top Bottom