PATA PICHA MBINGUNI...........

b_boy

Senior Member
Joined
Mar 13, 2017
Posts
173
Reaction score
258
HEY wakuu pata picha siku ya mwisho imefika mda wa hukumu umekuja alafu MUNGU anahamuru wote ambao walikuwa wanapga mgalala harmarufu kama punyeto a.k.a puchu au kuingiza gia kwa mkono ndo anaamuru kuwa mbegu zote zile ulizokuwa unamwaga zigeuke kuwa watoto wew ungekuwa na watoto wwangap.....?
just ni mtazamo toooooo.
 
Mtoto hawezi kukamilika kwa mbegu za mtu wa jinsia moja... La sivyo na wanawake watahesabiwa zile MP zao wanazopoteza kila mwezi yai moja moja throughout their entire life...
aaah kwan MUNGU anashndwa kuzfany kuwa kiumbe
 
aaah kwan MUNGU anashndwa kuzfany kuwa kiumbe
Binadamu anatengenezwa na kuwa kamili kwa Chromosomes 46. Mwanaume anachangia chromosome 23 na mwanamke anachangia chromosome 23...
Kinyume na hapo, hakuna binadamu...
 
Binadamu anatengenezwa na kuwa kamili kwa Chromosomes 46. Mwanaume anachangia chromosome 23 na mwanamke anachangia chromosome 23...
Kinyume na hapo, hakuna binadamu...
aaah we unambishia mungu
 
Mbegu za mwanaume ambaye hajafanya mapenzi wiki nzima goli moja zinaweza kuwapa mimba wanawake wote duniani na kubaki. Utafiti...
 
ejaculation moja ni mbegu zaidi ya milioni moja
nadhani ningekua na watoto sawa na population ya south africa
 
Mtoto hawezi kukamilika kwa mbegu za mtu wa jinsia moja... La sivyo na wanawake watahesabiwa zile MP zao wanazopoteza kila mwezi yai moja moja throughout their entire life...
Entire life? So MENOPAUSE haipogo? Mkuu una CHETI feki nini?
 
mmesh ambiw utan lakin mnakazan kukosoan [HASHTAG]#Watanzania[/HASHTAG] bwan ndo man hatuendelei#»
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…