Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
karibu mkuuSamsung zote zinazotengenezwa nje ya Korea ni feki usidanganye watu
karibu mkuu, zimebaki 2Hizo zimetoka Dubai.
Zilizochina masokoni au used
Eti zinatengenezwa bila box ππππ
[emoji81][emoji81]jamaa ame tuona mandazi sanaHizo zimetoka Dubai.
Zilizochina masokoni au used
Eti zinatengenezwa bila box [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Katusokota bila aibu π€£π€£π€£ eti "Imara sana"[emoji81][emoji81]jamaa ame tuona mandazi sana
aibu naona mieimara mno
Samsung made for China huwa ni Snapdragon na zinauzwa China na US tu! Na zinakuwa Single line.nchi ya China, inatengeneza bidhaa kwa ubora aina 2, kuna ambazo made for china (kwa matumizi ya ndani ya china ,zinakuwa imaa mno na mara nyingi hazina box. Pia kuna aia ya pili made for out of china(kwa kuuza nje ya China) zinakuwa na ubora wa kawaida na box. Leo natambulisha kwenu samsung note 5 (zimebaki 2) , hizi ni toleo imara mno. waranty miezi 6. Bei laki 2 na tisini na tano elf tu (tzs 295,000)
Piga 0713 039 875
Tuko Kibaha maili moja
Mikoani tuna mawakala
View attachment 2666172View attachment 2666173View attachment 2666174
Samsung made for China huwa ni Snapdragon na zinauzwa China na US tu! Na zinakuwa Single line.nchi ya China, inatengeneza bidhaa kwa ubora aina 2, kuna ambazo made for china (kwa matumizi ya ndani ya china ,zinakuwa imaa mno na mara nyingi hazina box. Pia kuna aia ya pili made for out of china(kwa kuuza nje ya China) zinakuwa na ubora wa kawaida na box. Leo natambulisha kwenu samsung note 5 (zimebaki 2) , hizi ni toleo imara mno. waranty miezi 6. Bei laki 2 na tisini na tano elf tu (tzs 295,000)
Piga 0713 039 875
Tuko Kibaha maili moja
Mikoani tuna mawakala
View attachment 2666172View attachment 2666173View attachment 2666174
Huu uongo mwingine mnadanganyana mchana kweupe.Samsung zote zinazotengenezwa nje ya Korea ni feki usidanganye watu