INAUZWA Pata suti kali kwa bei ofa

Sutimikoani

Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
20
Reaction score
49
Suti_mikoani ni wauzaji wa suti za kiume Kwa ajili ya sherehe za harusi, ofisini, vikao na matukio maalumu.

Tunatuma mikoani kwa uhakika na haraka zaidi na wateja wetu wa Dar es Salaam tunafanya free delivery.

Wateja wetu karibuni dukani kwetu.

Tucheki kupitia namba hii; call/WhatsApp:
0712878245.

Tunapatikana Kariakoo congo na Muhonda Street Dar es Salaam.

 

Mbona bei kubwa hivyo?
 
Mi nataka suti ya ki gangster naweza kupata mkuu? Hizo naona zimekaa kiheshimiwa/kibishoo sana Kutokana na hulka yangu nafikiri sitapendeza
Suti za kigangster zipo niggah.... karibu dukani kwetu. Ukifika msimbazi B kituo Cha mwendokasi nipigie simu ntakufata nakupeleka dukani kwetu
 
Anza mwaka 2023 na SUTI MIKOANI

Suti mikoani ni wauzaji wa suti za kiume aina zote Kwa bei mseleleko. Tuna aina zote za suti kuanzia suti za harusi, ofisini na kwenye matukio maalumu.

Bei ya suti ni;
Tsh.120,000/= (Kaunda suit)
Tsh.150,000/= (plain suit &six button suits )
Tsh.180,000/=(fashion suit)

Call/SMS/ WhatsApp: 0712878245.
Tucheki kupitia WhatsApp au piga simu au tuma sms Kwa namba hapo juu kuwasiliana na sisi Moja Kwa Moja.

Tunapatikana kariakoo congo na Muhonda Street Dar es salaam. Ukifika msimbazi B kituo Cha mwendokasi nipigie simu nitakufuata nakupeleka mpaka dukani kwetu.

Tunafanya Free delivery Kwa wateja wa Dar es salaam. Mikoani tunatuma Kwa bus au ndege Kwa haraka na uhakika zaidi.

Baada ya kulipa ada na watoto kwenda shule ni muda wa kupendeza wazee wa kazi.

NB: Picha utakazotazama ni chache kati ya nyingi zilizopo, nicheki WhatsApp Kwa picha zaidi Ili uweze kuchagua suti unayopenda. #0712878245

 
Suti Mikoani tunazingatia maisha ya uvaaji ya mtanzania wa Hali ya chini. Tunawaletea suti za kiume za ofisini, vikao, sherehe na kwenye matukio maalumu Kwa bei ya ofa.

3 piece suits(koti, kizibao na suruali)
[emoji92]Suti- Tsh. 180,000/=
[emoji92]Shati- Tsh.25,000/=
[emoji92]Tai- Tsh.15,000/=
[emoji92]Cheni- Tsh. 10,000/=
[emoji92]Ua- free

Yes!, Ua ni Bure kabisa ukinunua suti kutoka kwetu.

[emoji392]Call/WhatsApp: 0712878245

[emoji2509] Mikoani tunatuma Kwa haraka na uhakika zaidi. Wateja wa Dar es salaam tunafanya free delivery au unaweza kuja dukani kwetu.

[emoji613] Tunapatikana kariakoo congo na Muhonda street, Dar es salaam.

NB: Kwa picha na maelezo mengi zaidi nicheki WhatsApp/call/ SMS: 0712878245

[emoji319] SUPPORT MOVEMENT [emoji319]
View attachment 2480435View attachment 2480436
View attachment 2480443View attachment 2480442View attachment 2480441View attachment 2480440View attachment 2480439
 

Attachments

  • IMG-20230109-WA0022.jpg
    132.6 KB · Views: 21
Una suti moja tu?
 
Nimeapload picha nyng ila naona imetokea JF inazngua...ngoja nirekebishe tatzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…