Pata ushauri, ukikufaa tekeleza, leta mrejesho

Mopalmo

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
534
Reaction score
139
Nimejifunza kitu kimoja, kama kila anayepata ushauri humu ndani na akatekeleza na kuleta mrejesho kama wafanyavyo baadhi ya watu wachache, basi ingezidi kujenga ari ya Ujasiriamali, ninaanza ufugaji wa kuku kwa sasa ndio naandaa material za kujenga banda (kuku wa kienyeji) nitatoa mrejesho kadiri nitakavyotekeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…