duh wamemtia amirah
na wale wanaokuvizia wape hiyo picha waone.....
Allerge hii sijawah ona, kama alikuwa anajua akinywa anakuw hivi why kanywa? Bt hata jua yeye aisee
Allerge imekuwa sensitive wakati wa Xmas kwani we hujamuelewa?
huyu c star wa bongo muvie?
ndio nani huyo mwamba?
nawasiwasi na jicho dogo kama wameacha bila kulifungua