Mimi nawewe!!shika adabu yako!!Je Na Wewe Ni KIGEGEDIO Cha Mwamba Nini?
Sorry customer care is not reachable
Allerge hii sijawah ona, kama alikuwa anajua akinywa anakuw hivi why kanywa? Bt hata jua yeye aisee
jaman achen unafk na umbea, patcho kapost ile pcha mwenyewe insta anaomba ushaur, watu et kafumaniwa, muweken uyo mtu alofumaniwa nae tumuone bac, mmmmh!!!! walmwenguuu
Na ww acha kukomalia ishu za mitandaoni, kama unadai kafumaniwa taja,
1.Ni eneo gani au guest gani hapa nchini.
2.Mke wa nani, na anaitwa jina gani?
3.Na chanzo cha habari ni kipi?
Acha kupanik kijana, nimeuliza maswali hapo then nikamaliza kusema atajua yey. Wew povu linakutoka nin.
Nipe interfac ya kupimiaaa, nkupige kifo cha mende bila ya hata kukuchezea.Dume kuwa mmbea si dalili njema kwa rijali, hebu kapime tena nguvu za kiume.
Mademu was bongo wanawababaikia sana wakongo
huyu jamaa alikuwa anakula mama mmoja mke wa jamaa anafanya kazi Tra sijui ndiyo huyo kwasababu lile jimama lina mpa mpaka prado ya kutembelea .
Uyu itakua wamemfi.... Pia , ila hawajasema tu..... Yani akukute na mke wake afu akuache ivi ivi
Wamemfi......Ndiyo Kiswahili Gani Na Cha Wapi? Kwani Kulimalizia Tu Hilo Neno Lote Kuna Tatizo Gani? Mbona Mods Wako Powa Tu! Hebu Lirudie Na Uliandike Upya Na Lote Kwa Ukamilifu Wake Kwani Linaleta Maana Halisi Hata Kwa Ki BAKITA.
Hahahaa sawa baby,ila ntakosa hata wa kunipa salamu, itakuaje???
salamu watakupa tukiwa wawili tu...halafu wewe mali ya mtu salamu nyingine za nini jama?