Patcho Mwamba

BABA SANIAH

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
4,606
Reaction score
5,922
Wadau, huyu mwimbaji wa FM Academia na sometimes mcheza bongo movie,hua namkubali sana mimi binafsi.

Aliwahi kuhojiwa ,akasema Kanumba aliniambia niingie kwenye bongo movie,kwa kuwa mimi ndio napiga pamba kali kuliko wote.

Binafsi mimi nakubaliana na hilo kwa kupiga pamba kali huyu jamaa.

BIG UP SANA
pATCHO MWAMBA
Mutu ya Congo.
 
Hatamani kurudi kwao.
Na katika ukoo wake yeye ndo mwenye watoto kidogo. By then alikuwa nao 8
 
Ameanzisha kipindi kinaitwa bana Congo kitarushwa chaneli mojawapo ya Azam,utv siku ya jumatano saa tatu usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…