pathology ni somo
kma unaongelea kma somo au specility?
Histopathologist naye ni pathologist
haematologist bado ni pathologist
microbiologist naye ni pathologist
ilmrad tu awe na masters ya kitu husika
unaweza kusoma bachelor ya phamacy then ukachukua masters of anatomy bado utakuwa pathologist
naomba mnijuze pathology inasomwa na madaktari tu ama mtu yeyote anayesoma afya? Au kama unajua kati ya hizi: phamarcy, nursing na medical labolatory, fucult ip wanasoma pathology?.
Basic Subjects kwa degree za Afya
Anatomy
Physiology
Biochemistry
Pathology
Microbiology
Parasitology and medical ontomology
Epidemiology and Biostatistics.......Wooote lazima msome
Nahisi jibu lako halijakidhi matakwa ya mleta uzi..
*not an offence
Pathology kwa kina husomwa na MD na DDS, wengine husoma applied pathology, kwa sababu itamsaidia katika kumtibu mgonjwa, kwa mitaala ya vyo vingi vya afya hapa Tanzania hasa nzungumzia vinavyotoa taaluma ya udaktari wa binadamu, anayeweza kuspecialize pathology hasa ni yule ambaye amesoma MD(DOCTOR OF MEDICINE) au inayofanana na hiyo au DDS(Doctor of Dental Surgery)
Basic Subjects kwa degree za Afya
Anatomy
Physiology
Biochemistry
Pathology
Microbiology
Parasitology and medical ontomology
Epidemiology and Biostatistics.......Wooote lazima msome
Kwaiyo unamaanisha kunamasters ya pathology(pathologist)?
masomo yote ya basic science yana master(pathology,anatomy,biochemistry,physilology,microbiology,parasitology,pharmacology)
master of science 2years=anatomy,biochemistry,physiology,parasitology,pharmacology, kwa kiasi kikubwa hutumika kufundisha,research
master of medicine in pathology 3years=huhusika na clinical activity zinazohusiana na pathology,pia hufundisha+research.
Nimekupata mkuu! unajua mimi nilikuwa na maana yangu kuuliza iv, nilishawai ckia hilo ni somo ambalo ni basic kwa wanaafya wote lakin nilikua nikitembelea kwenye website ya IMTU, chuo ambacho nimechaguri kwenda kusoma BSN so nilikuwa nkisoma vipindi vyao kwa semister zote 8, nilichokuja kugundua kwamba pathology ipo kwenye MD lakin sikuiyona kwenye BSCN.source ingia website yao...www.imtu.ac.tz
Nimekupata mkuu! unajua mimi nilikuwa na maana yangu kuuliza iv, nilishawai ckia hilo ni somo ambalo ni basic kwa wanaafya wote lakin nilikua nikitembelea kwenye website ya IMTU, chuo ambacho nimechaguri kwenda kusoma BSN so nilikuwa nkisoma vipindi vyao kwa semister zote 8, nilichokuja kugundua kwamba pathology ipo kwenye MD lakin sikuiyona kwenye BSCN.source ingia website yao...www.imtu.ac.tz
pathology ni somo
kma unaongelea kma somo au specility?
Histopathologist naye ni pathologist
haematologist bado ni pathologist
microbiologist naye ni pathologist
ilmrad tu awe na masters ya kitu husika
unaweza kusoma bachelor ya phamacy then ukachukua masters of anatomy bado utakuwa pathologist
Pathology inasomwa na kozi zote ulizozitaja hapo juu , ni core course kwa medical students ... Pia me nimechaguliwa kusoma Medical Laboratory Technology hapo IMTU ila sijaona hizo course content kwenye website yao , pia website ya imtu naona haina format nzuri ..... Ila niliangalia course content za Medical Laboratory science na pharmacy za Bugando Pathology ipo hata nursing ya udom pia wanasoma pathology ... Also nimewauliza rafiki zangu waliotangulia wanaosoma MD wanasema almost course zote za Medical wanasoma pathology ....
Kwa msaada embu nisaidie direct link ya course content kwenye website ya imtu...
sawa mkuu nimeiona hiyo sehemu kweli nyie wa nursing hamna pathology sijui ni kwa nini..! Naona semester ya kwanza tutashirikiana kwenye anatomy na biostatisticIngia IMTU - Home - Welcome Note halafu shuka chini kabisa utakuta neno CURRICULUM then ingia pale halafu niambie umeona nn? Then nenda kwenye BSN tafuta pathology kama utaikuta lakin kwenye lab ipo.