PATIENCE PB
Senior Member
- Apr 3, 2014
- 163
- 37
athante sana,ila sema sijafahamu vizur kuitumia hata notifications sizion
Wakaribishwa sana..
Wapi kasema kamaliza 6?wanaume wa dar bana mnakurupuka tu[emoji23]Ahaa,kumbe umemaliza six?hongera dogo.
Wewe kwako kila mtu ni mwanaume wa Dar?mwanaume wa Marangu una tabu sana wewe,huyu nimekumbuka thread zake jukwaa la elimu ndio maana nimekoment hivyo.Wapi kasema kamaliza 6?wanaume wa dar bana mnakurupuka tu[emoji23]
Nyegera mutabani. Taratibu humu kuna watu wa ajabu, utawasikia akina Faizafoxy, wakudadavua etc. Take carehodi hodi humu..!
mi naitwa patience pb rutta wa bukoba nilikuwa naomba tuwe wote,mi nimemalza kidato cha nne nategemea kwenda cha 5 mwezi wa 7,FOR SURE JAMII FORUM IS A PLACE TO BE!
Ahaa,kumbe umemaliza six?hongera dogo.
Ahaa,kumbe umemaliza six?hongera dogo.
Ahaa,kumbe umemaliza six?hongera dogo.
Nyegera mutabani. Taratibu humu kuna watu wa ajabu, utawasikia akina Faizafoxy, wakudadavua etc. Take care
Nisalimie Bukoba ya wapi?ah haaaa haaaa kasinge mno owaishe.......nshakaribia ....JF ni zaidi ya darasa
Bukoba municipal. ..mtaa migera..kwa mangiNisalimie Bukoba ya wapi?